Siasa bado zipo ila kitumbua nacho kipewe pongezi zake, tusikisahau.
Siasa bado zipo ila kitumbua nacho kipewe pongezi zake, tusikisahau.
Mwita25 kitumbua utengenzwa na mchele...eeeh sawa na Je ulishakunywa pombe ya MCHELE? teh teh tehNamshukuru sana Mungu kwa uamuzi wa busara wa kunipendelea na kuniumba mwanaume. Kwakweli utamu wa kitumbua unazidi raha zote duniani. Hivi kuna kitu kizuri kama kitumbua duniani? Lakini najiuliza wanawake nao huwa wanapata utamu uleule ninaopata mimi?
Hili swali lina tatizo...hivi kama mtu akijua kuwa wanawake wanapata utamu zaidi.....si anaweza jikuta anatamani kuwa 'punga'?Watu mameishia kuguna tu hamkumjibu Mwita, kamalizia hivi "Lakini najiuliza wanawake nao huwa wanapata utamu uleule ninaopata mimi?" Jamani jibuni hili
Sasa unashangaa nini? Kwani we huna kitumbua??Makubwa!!! Khaaa!
Hili swali lina tatizo...hivi kama mtu akijua kuwa wanawake wanapata utamu zaidi.....si anaweza jikuta anatamani kuwa 'punga'?
mchagua kitumbua si mlaji!kijitumbua,kitumbua na mtumbua vyote burudani!
Mitumbua haina burudani, vitumbua ndo vinaburudani bana!
Vipi kuusu kisamvu?
Mwita, hicho kitumbua unachokisifia ni cha mchele, mtama, au ngano????