Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Ndugu wapendwa najua ni neema ya mungu kuwa nanyi kila iitwapo leo...na biblia imesema tusiache kuwa na shukran...tangu nimeoa nilikuwa mnywaji mzuri sana wa wisky kabla mungua ajaamua kunichagua kumtumikia...nikapata na ndoa ..baada yahapo tumekuwa tukitafuta mttoto na wengine wanakumbuka mada nilizokuwa nikianzisha kuna walioongea wanachoweza kuna waliotoa ushauri na wengine kuelekea kutuma mamombi yao binafsi juuu yangu kupitia pm's
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning