Namshukuru mungu;ahsanten wana jf

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Ndugu wapendwa najua ni neema ya mungu kuwa nanyi kila iitwapo leo...na biblia imesema tusiache kuwa na shukran...tangu nimeoa nilikuwa mnywaji mzuri sana wa wisky kabla mungua ajaamua kunichagua kumtumikia...nikapata na ndoa ..baada yahapo tumekuwa tukitafuta mttoto na wengine wanakumbuka mada nilizokuwa nikianzisha kuna walioongea wanachoweza kuna waliotoa ushauri na wengine kuelekea kutuma mamombi yao binafsi juuu yangu kupitia pm's
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning
 
Ndugu wapendwa najua ni neema ya mungu kuwa nanyi kila iitwapo leo...na biblia imesema tusiache kuwa na shukran...tangu nimeoa nilikuwa mnywaji mzuri sana wa wisky kabla mungua ajaamua kunichagua kumtumikia...nikapata na ndoa ..baada yahapo tumekuwa tukitafuta mttoto na wengine wanakumbuka mada nilizokuwa nikianzisha kuna walioongea wanachoweza kuna waliotoa ushauri na wengine kuelekea kutuma mamombi yao binafsi juuu yangu kupitia pm's
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning

Hongera sana mkuu na kila la heri na mapacha wenu wakue na afya njema na wawe binadamu wema wataojaa upendo wa hali ya juu na wapenda amani
 
Hongera sana mkuu, mungu aibariki familia yenu.say hi to j&f
 
From the bottom of my heart I congratulate you and your wife. I thank God for His Power. Glory to God!
 
Ndugu wapendwa najua ni neema ya mungu kuwa nanyi kila iitwapo leo...na biblia imesema tusiache kuwa na shukran...tangu nimeoa nilikuwa mnywaji mzuri sana wa wisky kabla mungua ajaamua kunichagua kumtumikia...nikapata na ndoa ..baada yahapo tumekuwa tukitafuta mttoto na wengine wanakumbuka mada nilizokuwa nikianzisha kuna walioongea wanachoweza kuna waliotoa ushauri na wengine kuelekea kutuma mamombi yao binafsi juuu yangu kupitia pm's
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning

Congrats baba wawili, umepata bahati ya kushuhudia second chance from God!
Cherish the life you live
for as long as you shall live
take care of the sweetheart
bless the twins with proper care

looking at your post ma' broda
i see super excitement
more so the red marked words:D:D
all in all Pdidy...
May God bless you more and more and more

I have got nothing but love for you bro'
 
Thanks br n sis.huu ni ushushuda kwa maisha yangu kwa kweli nilikuwa nawaza sana kama kuna dalili za watoto mbele yangu ambapo kila dk akipima ananiuliza swala la pombe akishaangalia sperm rate na madubwasha mengineyo...ila kwa ushauri zaidi pengine wewe unaweza kuwa na tatizo kama langu usikate tamaa swala muhimu ni ukubali kwenda kupima...jamani hapa ndipo shuguli kubwa ilinichukua mwezi mzima...alafu kwa upande wa wanaume ukishapimwa ukakuta sperms hazina tatizo...nenda kwenye swala la hormones...mnaokumbuka nilikuja na mada ya"nifanyeje kuongeza hormones za kiume""hii ilikuwa fundisho sana kwangu na sitaacha kuikumbuka...nilipopewa dawa za kurekebisha sperms nikapima tena nikaambiwa nipime rate za hormnoes ndipo nikakuta za kiume ni 1.6 wakati zinatakiwa 2.2-10% nilimwomba sana mungu na kuamini kama ni makusudi yake kuoa basi ni makusudi yake kunipa mtoto thanx much kwa mkewangu aliekwa pembeni yangu muda wote kunikumbusha kwenye maombi...kunywa dawa muda muafaka...usikate tamaa mungu anafungua mlango pale inapoonekana imezibwa...wanandugu si bure...niliamua kwenda kupima baada ya madadazangu kuanza kumtukana mkewangu mpendwa oooohhh anajaza chooo...na ni madada uande wa mama wadogo wakubwa...wkati huo mkewangu ashapimwa ayuko bomba...aaaahhhh ikabaki imani...thanx much all naomba mnaoendelea kutafuta watoto msikate tamaa...mkiwa na tatizo tulizane hapa hapa jf...zipo njia nyingi si lazima ujitaje...weka swali watu waliparamie...usidharau vinavyoandikwa...nakumbuka nilipoandika kuna jamaa zangu waliniandikia dawa kila hosp nikienda wanasema mpaka niagize s.africa...bado nikaamini mungu za dar nazo zaweza kuniponya yeye akiwa mbele yangu.....
lunch njema wote
 
Congrats baba wawili, umepata bahati ya kushuhudia second chance from God!
Cherish the life you live
for as long as you shall live
take care of the sweetheart
bless the twins with proper care

looking at your post ma' broda
i see super excitement
more so the red marked words:D:D
all in all Pdidy...
May God bless you more and more and more

I have got nothing but love for you bro'

tnaks much br MTM God is GOOD ALL THE TIME I RELEASE THIS IMPATATION TO ALL JF MEMBERS GOD IS GOING TO BRING MORE MEMBERS OF JF...
 
Congrats baba wawili, umepata bahati ya kushuhudia second chance from God!
Cherish the life you live
for as long as you shall live
take care of the sweetheart
bless the twins with proper care

looking at your post ma' broda
i see super excitement
more so the red marked words:D:D
all in all Pdidy...
May God bless you more and more and more

I have got nothing but love for you bro'


Mkuu yaani maombi yamejibiwa mara 2 ina maana kagonga duble duble? /pacha
 
Congrats baba wawili, umepata bahati ya kushuhudia second chance from God!
Cherish the life you live
for as long as you shall live
take care of the sweetheart
bless the twins with proper care

looking at your post ma' broda
i see super excitement
more so the red marked words:D:D
all in all Pdidy...
May God bless you more and more and more

I have got nothing but love for you bro'


Mkuu yaani maombi yamejibiwa mara 2 ina maana kagonga duble duble? /pacha. Tafadhali 1 mwite NGULI.
 
Mkuu yaani maombi yamejibiwa mara 2 ina maana kagonga duble duble? /pacha. Tafadhali 1 mwite NGULI.

Duh... Yaani mtoto aitwe Nguli tena!??? si atagongwa na majembe na mashoka kama hiyo avatar yako?
 
Hongera sana Pdidy,Ushuhuda wako umenifurahisha saana,Mungu amefanya kwa wakati wake.
 
Mkuu yaani maombi yamejibiwa mara 2 ina maana kagonga duble duble? /pacha. Tafadhali 1 mwite NGULI.

Mpwa uliza kwanza hao matwins ni ma she/he? Kama wote ni she afu mmoja aitwe nguli, kwenye get tugedha ya kumpongeza mzazi mbona itakuwa balaa?
 
Ndugu wapendwa najua ni neema ya mungu kuwa nanyi kila iitwapo leo...na biblia imesema tusiache kuwa na shukran...tangu nimeoa nilikuwa mnywaji mzuri sana wa wisky kabla mungua ajaamua kunichagua kumtumikia...nikapata na ndoa ..baada yahapo tumekuwa tukitafuta mttoto na wengine wanakumbuka mada nilizokuwa nikianzisha kuna walioongea wanachoweza kuna waliotoa ushauri na wengine kuelekea kutuma mamombi yao binafsi juuu yangu kupitia pm's
kwa wale wanandoa msiache kuwa pamoja pale mnapoamua kutafuta mtoto...tatizo la mtoto wengi wanalichukulia ni kwa mwanamke pekee...nimekaa na mwenzangu miezi 4 kabla ya kuamua kwenda hospital pamoja na kukutwa na prblms ambazo niliamua kumuachia mungu mara ukienda huku wanakuuliza ulikuwa unakunya sana pombe...anyway napenda kutoa ushauri tuachane na pombe zina mdhara yake...tena sana...nilipopewa ushauri nilijitahidi kuufwata na pongezi kwa wale walionishauri kwenda kwa dk mgaya pale namanga....ametusaida sana na hata leo hii kufikia kuitwa baba fulani..thanks much jf...thx everybody
godbless u...hope m twins waataitwa j&f
goodmorning

nimefarijika na wewe god bless you with your familia
 
Duh... Yaani mtoto aitwe Nguli tena!??? si atagongwa na majembe na mashoka kama hiyo avatar yako?

Mkuu MTM inabidi J isimame badala ya MTM

F badala ya NGULI
 
Back
Top Bottom