Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Baada ya kusoma majibu ya MH Lema. Ninamuomba Waziri mkuu ailinde heshima yake na heshima ya Bungre kwa kuomba msamaha juu ya kusema uongo.
Katika mambo yote 10 sioni ni namna gani hata mtoto wa darasa la tatu atashindwa kujua kuwa Waziri alipitiwa.
NAJUA KAMA MWANADAMU KILA MTU ANA MAPUNGUFU YAKE. Nakuomba uombe radhi na ruhusu uchaguzi kurudiwa.
Katika mambo yote 10 sioni ni namna gani hata mtoto wa darasa la tatu atashindwa kujua kuwa Waziri alipitiwa.
NAJUA KAMA MWANADAMU KILA MTU ANA MAPUNGUFU YAKE. Nakuomba uombe radhi na ruhusu uchaguzi kurudiwa.