ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
- Thread starter
- #41
Msala wa nini? Nahc ume fall kwake.
aka mi nina wangu na mtandao si utaki kabisaaa!
Msala wa nini? Nahc ume fall kwake.
wamtaka weye,sio vibaya lakini.
yanakuhuu?
kumbe mwoga weye?nikimwagiwa maji ya moto nyumbani kwa watu je ntafanyaje?
kumbe mwoga weye?
Unafanya maskhara na kumwagwa wewe.....
pamojaummu kulthum najua nimepotea kweli ila niko pamoja nanyinyi kwa kila comment humu jukwaani wa usijali ma dia!
Naomba uwaambie rafiki zangu Mr Rocky the Secrecretary cacico Madame B BAGAH wakati ndio sasa Bishanga Asprin Remmy sweetlady Catherine Arushaone Mwali Judgement shem wangu beibe nasty ruttashobolwa dogo Mtalingolo kuwa Mi mzima kabisa....sina tatizo lolote nawamiss sana na nawatakiwa weekend njema!
Tutaendelea kuwa pamoja daima kama ilivyo sasa!
View attachment 61615
pamojaummu kulthum najua nimepotea kweli ila niko pamoja nanyinyi kwa kila comment humu jukwaani wa usijali ma dia!
Naomba uwaambie rafiki zangu Mr Rocky the Secrecretary cacico Madame B BAGAH wakati ndio sasa Bishanga Asprin Remmy sweetlady Catherine Arushaone Mwali Judgement shem wangu beibe nasty ruttashobolwa dogo Mtalingolo kuwa Mi mzima kabisa....sina tatizo lolote nawamiss sana na nawatakiwa weekend njema!
Tutaendelea kuwa pamoja daima kama ilivyo sasa!
View attachment 61615
We ushamwagwa mara howmuch ? Sijui haumene ?
Ambaye fortunately hutammwaga na luckly hatakumwaga.....! Mbona humalizii sentonso wife? BTW How is BADILI TABIA? Tell her Asprin is already missing her.....! Khaa!!unfortunately sijawahi kumwagwa, ila nishawamwaga kadhaa, mpaka nilipokutana na asali wa moyo, sabuni ya roho Asprin
unfortunately sijawahi kumwagwa, ila nishawamwaga kadhaa, mpaka nilipokutana na asali wa moyo, sabuni ya roho Asprin