Namsalimu Husninyo.

uporoto01

JF-Expert Member
May 23, 2008
4,700
1,415
Napenda kumsalimu Spanish lady na kumtakia weekend njema na wiki ijayo njema, namwombea afya njema na furaha tele,ni mimi Uporoto nikiwa safarini kuelekea Mpwapwa.:wave:
 
Kwakuwa Husninyo naona yupo salaam zitakuwa zimemfikia kaamua kunichunia,poa tu.
 
Dah! Nilikuwa wapi hizi salamu sijaziona.
Karibu mpwapwa. Huku kuna bahari na mito. Tutakula gud tym mwanzo mwisho.
 
nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.

NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.
 
nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.

NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.

hahahahahahahahaha!!
Kloro unajua babu hatibu mbavu.
Khaaaa!
Mi ninavyokuzimikia hakuna mfano.
Hebu njo mpwapwa na uporoto.
 
nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.

NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.
Khaa! kamanda utamzimikiaje Hus kwenye thread yangu ? mfungulie yako bana,na hilo la kumuona kwenye makamasi duh! we chiboko.
 
hahahahahahahahaha!!
Kloro unajua babu hatibu mbavu.
Khaaaa!
Mi ninavyokuzimikia hakuna mfano.
Hebu njo mpwapwa na uporoto.
Siwezi kuja nae atataka gharama zote nilipe mimi aliniachia deni pale Uwanja wa fisi nalipa kidogokidogo.
 
Khaa! kamanda utamzimikiaje Hus kwenye thread yangu ? mfungulie yako bana,na hilo la kumuona kwenye makamasi duh! we chiboko.
kamanda hii idea ya kuanzisha sredi tuliijadili pamoja halaf wewe ukajifanya mjanja kuilembea mwanzo. tutabanana kwenye hili hili sredi. kule kuna CPU leo, Lizzy anajifanya kama amesahau spelling za majina yetu.
 
kamanda hii idea ya kuanzisha sredi tuliijadili pamoja halaf wewe ukajifanya mjanja kuilembea mwanzo. tutabanana kwenye hili hili sredi. kule kuna CPU leo, Lizzy anajifanya kama amesahau spelling za majina yetu.
Ngoja nikachafue hali ya hewa kule lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom