Kwakuwa Husninyo naona yupo salaam zitakuwa zimemfikia kaamua kunichunia,poa tu.
nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.
NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.
Khaa! kamanda utamzimikiaje Hus kwenye thread yangu ? mfungulie yako bana,na hilo la kumuona kwenye makamasi duh! we chiboko.nami napenda kumwambia husninyo kupitia sredi hii kwamba namzimikia , nikienda chafya namuona kwenye makamasi, nimekonda mpaka bukta linapwaya kwa kumuwaza yeye, nikikoroma sauti inatoa jina lake. mengine nitaelezea post ijayo.
NB: post hii isiwe ni sababu ya kuombana hela ya vocha.
Siwezi kuja nae atataka gharama zote nilipe mimi aliniachia deni pale Uwanja wa fisi nalipa kidogokidogo.hahahahahahahahaha!!
Kloro unajua babu hatibu mbavu.
Khaaaa!
Mi ninavyokuzimikia hakuna mfano.
Hebu njo mpwapwa na uporoto.
Siwezi kuja nae atataka gharama zote nilipe mimi aliniachia deni pale Uwanja wa fisi nalipa kidogokidogo.
mi nimesoma hapo red tu!hahahahahahahahaha!!
Kloro unajua babu hatibu mbavu.
Khaaaa!
Mi ninavyokuzimikia hakuna mfano.
Hebu njo mpwapwa na uporoto.
kamanda hii idea ya kuanzisha sredi tuliijadili pamoja halaf wewe ukajifanya mjanja kuilembea mwanzo. tutabanana kwenye hili hili sredi. kule kuna CPU leo, Lizzy anajifanya kama amesahau spelling za majina yetu.Khaa! kamanda utamzimikiaje Hus kwenye thread yangu ? mfungulie yako bana,na hilo la kumuona kwenye makamasi duh! we chiboko.
dah! hapa CV imechafuliwa kwa adobe photoshop. senks god Keren Happuch hayupo online.Siwezi kuja nae atataka gharama zote nilipe mimi aliniachia deni pale Uwanja wa fisi nalipa kidogokidogo.
Ngoja nikachafue hali ya hewa kule lol!kamanda hii idea ya kuanzisha sredi tuliijadili pamoja halaf wewe ukajifanya mjanja kuilembea mwanzo. tutabanana kwenye hili hili sredi. kule kuna CPU leo, Lizzy anajifanya kama amesahau spelling za majina yetu.
ulijuaje kama unahitajika? harakisha bana lolNgoja nikachafue hali ya hewa kule lol!
dah! hapa CV imechafuliwa kwa adobe photoshop. senks god Keren Happuch hayupo online.
unajua kama sijatype jina lako nakuwa nahisi siku yangu haijakamilika kabisa yaani. hivi huu si ugonjwa?.........??!!
Jamani nimepita tu, hope wote hamjambo. Endeleen ku-enjoy wkend
Hapana si ugonjwa bali ni uzima....unajua kama sijatype jina lako nakuwa nahisi siku yangu haijakamilika kabisa yaani. hivi huu si ugonjwa?
Asante Hus...ila mhh lift ya uporoto....mhh!hatujambo.
Hebu omba lift kwa uporoto uje mpwapwa.