CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Huyu shekh napenda michango yake,amekuwa na uwezo wa kufikiri zaidi juu ya watanzania wote bila kujali dini zao.,maana mashekh wengine wanaona ukijadili uthaifu wa serekali.ni kwamba unamjadili kikwete,hivyo unaujadili uislam.
Shekh mohammed issa aliongea yafuatayo:
1.uwekezaji umemeza utanzania
2.viongozi dhaifu wasiokuwa na imani ya mungu
3.viongozi kujitengea budget kubwa kwa ajili ya kujitibia ukilinganisha na budget yaafya kwa watu zaidi ya mil40
4.aliwaita wawekezaji waporaji
mungu aikubariki sana shekh kwa kuwa na mitizamo tofaut
mada;utu wa mtanzania umeenda wapi?
Chanzo:channel ten
Shekh mohammed issa aliongea yafuatayo:
1.uwekezaji umemeza utanzania
2.viongozi dhaifu wasiokuwa na imani ya mungu
3.viongozi kujitengea budget kubwa kwa ajili ya kujitibia ukilinganisha na budget yaafya kwa watu zaidi ya mil40
4.aliwaita wawekezaji waporaji
mungu aikubariki sana shekh kwa kuwa na mitizamo tofaut
mada;utu wa mtanzania umeenda wapi?
Chanzo:channel ten