Nampongeza Magufuli kwa kula chakula cha Tsh. 5000 kwenye mgahawa

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Wadau,

Kwenye magazeti niliyoyakuta mezani, moja ya taarifa ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli, aliiingia kwenye mgahawa pale Airport ya Mwanza na kula chakula cha Ths 5000 yeye na mkewe = Tsh 10,000. Mgahawa huo unauza kikombe cha chai Tsh. 200, ina maana ingekuwa ni asubuhi...Rais na mkewe wangetumia Tsh. 400 kwa vikombe viwili vya chai. Huku ni kubana matumizi na mfano wa kuigwa.

Hili jambo Obama hulifanya mara kwa mara, kuingia kwenye mgahawa kama raia wengine na kukaa, kula na kusalimia wananchi bila mbwembwe za walinzi au shamrashamra za mapokezi.

Hapa Kazi Tu.
 
Magufuli, aliiingia kwenye mgahawa pale Airport ya Mwanza na kula chakula cha Ths 5000 yeye na mkewe = Tsh 10,000. Huku ni kubana matumizi na mfano wa kuigwa.
Sasa hapo amebana matumizi ya serikali au ya familia yake? Mimi nadhani anatakiwa asifiwe zaidi na familia yake kuliko watu wasio wanafamilia kama wewe, kwa kuwa kwa upande mwingine amemnyima mapato mwenye mgahawa kwa kununua chakula cha bei ndogo tu. Nilitarajia JPM ataunga juhudi za mfanyabiashara huyu kwa kumuunga vitu vya bei kubwa zaidi ili walau ainue mtaji.
Endelea kusifia mambo ya kijinga
 
Sasa hapo amebana matumizi ya serikali au ya familia yake? Mimi nadhani anatakiwa asifiwe zaidi na familia yake kuliko watu wasio wanafamilia kama wewe, kwa kuwa kwa upande mwingine amemnyima mapato mwenye mgahawa kwa kununua chakula cha bei ndogo tu. Nilitarajia JPM ataunga juhudi za mfanyabiashara huyu kwa kumuunga vitu vya bei kubwa zaidi ili walau ainue mtaji.
Endelea kusifia mambo ya kijinga
Ndugu, Rais akiwa nje ya ofisi...hatumii hel yake ya mfukoni. So hiyo Ths 10,000 ni kodi za wananchi. Anastahili pongezi.
 
Sasa hapo amebana matumizi ya serikali au ya familia yake? Mimi nadhani anatakiwa asifiwe zaidi na familia yake kuliko watu wasio wanafamilia kama wewe, kwa kuwa kwa upande mwingine amemnyima mapato mwenye mgahawa kwa kununua chakula cha bei ndogo tu. Nilitarajia JPM ataunga juhudi za mfanyabiashara huyu kwa kumuunga vitu vya bei kubwa zaidi ili walau ainue mtaji.
Endelea kusifia mambo ya kijinga
serious

Angekula menyu ya laki nane kama yule jamaa yenu ingekuwa anafuja hela za familia yake???

Au si wewe ungekuja kulalamika hapa pesa ya uma inatumika vibaya.

Wakati mwingine wabongo ni viazi sana.
 
serious

Angekula menyu ya laki nane kama yule jamaa yenu ingekuwa anafuja hela za familia yake???

Au si wewe ungekuja kulalamika hapa pesa ya uma inatumika vibaya.

Wakati mwingine wabongo ni viazi sana.
hujui nchi inavyoendeshwa kaa kimya kabisa
 
jpm bado anafanya reheasal kazi bado hajaanza ,kula kwa mama ntilie hakupunguzi ugumu wa maisha ya mtanzania ,kusafiri kwa punda badala ya ndege hakuna maana zaidi ya maigizo ,kazi pekee ninayoiunga mkono ni kutumbua majipu japo mengine anayaogopa kama Dau,JK,Ndulu,Nkapa.siku akiyatumbua hayo nitatembea na bukta mpaka ikulu kumuunga mkono na na amini hilo analiweza,tumeshampa zindiko la maana huku chato
 
jpm bado anafanya reheasal kazi bado hajaanza ,kula kwa mama ntilie hakupunguzi ugumu wa maisha ya mtanzania ,kusafiri kwa punda badala ya ndege hakuna maana zaidi ya maigizo ,kazi pekee ninayoiunga mkono ni kutumbua majipu japo mengine anayaogopa kama Dau,JK,Ndulu,Nkapa.siku akiyatumbua hayo nitatembea na bukta mpaka ikulu kumuunga mkono na na amini hilo analiweza,tumeshampa zindiko la maana huku chato
Siku utakayovua nguo ni quote tena nije nikushikie mwamvuli.

Wewe ni miongoni mwa waliokula msosi wa 2500 baada ya bosi kula wa 5000 .
hujui nchi inavyoendeshwa kaa kimya kabisa
Wewe sio kwamba unajua inavyoendeshwa ila umekariri inavyoendeshwa.pimbi wewe utauza simu mwaka huu.
 
jpm bado anafanya reheasal kazi bado hajaanza ,kula kwa mama ntilie hakupunguzi ugumu wa maisha ya mtanzania ,kusafiri kwa punda badala ya ndege hakuna maana zaidi ya maigizo ,kazi pekee ninayoiunga mkono ni kutumbua majipu japo mengine anayaogopa kama Dau,JK,Ndulu,Nkapa.siku akiyatumbua hayo nitatembea na bukta mpaka ikulu kumuunga mkono na na amini hilo analiweza,tumeshampa zindiko la maana huku chato
Wewe nawe mgeni Tz? Mbona unamsahau kingpin EL au humjui makali yake? Uhamiaji inakuhusu.
 
Risti alidai baada ya kulipa hicho chakula? Usipongeze kula tu efl tano mkumbushe na kudai risiti anapolipa kama yeye anavyotuambia sisi tuanaponunua vitu.
 
Sasa hapo amebana matumizi ya serikali au ya familia yake? Mimi nadhani anatakiwa asifiwe zaidi na familia yake kuliko watu wasio wanafamilia kama wewe, kwa kuwa kwa upande mwingine amemnyima mapato mwenye mgahawa kwa kununua chakula cha bei ndogo tu. Nilitarajia JPM ataunga juhudi za mfanyabiashara huyu kwa kumuunga vitu vya bei kubwa zaidi ili walau ainue mtaji.
Endelea kusifia mambo ya kijinga
na we uelewa wako ni wa kiwango cha chini kabisa kutojua km rais popote awapo hutumia kodi za wananchi kwa huduma ya aina yyt ile na si mfukoni mwake. naic umeelewa sasa
 
Wadau,

Kwenye magazeti niliyoyakuta mezani, moja ya taarifa ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli, aliiingia kwenye mgahawa pale Airport ya Mwanza na kula chakula cha Ths 5000 yeye na mkewe = Tsh 10,000. Mgahawa huo unauza kikombe cha chai Tsh. 200, ina maana ingekuwa ni asubuhi...Rais na mkewe wangetumia Tsh. 400 kwa vikombe viwili vya chai. Huku ni kubana matumizi na mfano wa kuigwa.

Hili jambo Obama hulifanya mara kwa mara, kuingia kwenye mgahawa kama raia wengine na kukaa, kula na kusalimia wananchi bila mbwembwe za walinzi au shamrashamra za mapokezi.

Hapa Kazi Tu.
Hata Lowassa alishapanda dala dala Gongo la mboto watu wakashabikia kweli kitu cha ajabu mbona haendelei kupanda dala dala kwenda masaki? Magufuli anachofanya ni kitu cha kweli toka moyoni sio geresha za kutafuta umaarufu kuzungusha mikono
 
Wadau,

Kwenye magazeti niliyoyakuta mezani, moja ya taarifa ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli, aliiingia kwenye mgahawa pale Airport ya Mwanza na kula chakula cha Ths 5000 yeye na mkewe = Tsh 10,000. Mgahawa huo unauza kikombe cha chai Tsh. 200, ina maana ingekuwa ni asubuhi...Rais na mkewe wangetumia Tsh. 400 kwa vikombe viwili vya chai. Huku ni kubana matumizi na mfano wa kuigwa.

Hili jambo Obama hulifanya mara kwa mara, kuingia kwenye mgahawa kama raia wengine na kukaa, kula na kusalimia wananchi bila mbwembwe za walinzi au shamrashamra za mapokezi.

Hapa Kazi Tu.
sasa fikiria unywe chai ya 200 au kande za 500 halafu udai risiti kweli? siunapotezea tu.
 
Hongera Mh, Rais Dr. JP Magufuli Kwa Yote ulikwisha Yafanya na unayoyafanya na Mungu Akujalie tena Utufanyie mengi zaidi.
 
jpm bado anafanya reheasal kazi bado hajaanza ,kula kwa mama ntilie hakupunguzi ugumu wa maisha ya mtanzania ,kusafiri kwa punda badala ya ndege hakuna maana zaidi ya maigizo ,kazi pekee ninayoiunga mkono ni kutumbua majipu japo mengine anayaogopa kama Dau,JK,Ndulu,Nkapa.siku akiyatumbua hayo nitatembea na bukta mpaka ikulu kumuunga mkono na na amini hilo analiweza,tumeshampa zindiko la maana huku chato
karamagi pia mkuu
 
Back
Top Bottom