unamaanisha ndoa kwanza at?
mkuu pole kwa kuingizwa mjini. qn1. je uyo gf wako ana age gani?,qn2. na wewe una age gani?.
mi siamini kama mpo above 18yrs aged, alafu mnazungiushana kiasi hicho. kuwa mjanja mkuu awapo unapigwa changa la macho that means mzigo unapigwa na jamaa mwingi we upo tu kwajili kuzugia. i-short unapoteza mda wako apo amna kitu no bikra wala kitanzi. chamuhimu fanya utafiti utagunduwa ukweli wake au alikuwa ana jamaa wameachana but still bado anampenda so anashindwa kugawa penzi kwa mtu mwingi. yangu+yako=concrete answer/solution
weka ishue za maana huku si mambo aambayo hayana mbele wala nyuma.
Wana jf m nipo katika uhusiano na huyu mpenz sasa unaenda mwaka, tatizo lake n moja tu hatak kunipa penz.,kila nikimuambie kuhusu inshu hyo ya kuduu.' tunazinguana sana mashart anayonipa mi kama siyaelewi kabisa hiv utamsubiria mwanamke miaka nane bila kuduu hapa si napigwa changa tu ndugu sana..[/QUOTE
Mkuu kusubiri ni jambo la busara zaidi,utaepuka hatari nyingi kwa kusubiri. Na kama kweli unataka kumuoa kuduu wala siyo ishu kubwa sana kwani kuna mambo mengine mengi ya kuchunguza na kujua kuhusu yeye apart from ku-do. and kumbuka ku do kabla ya ndoa ni dhambi.