Nampenda tatizo ananibania penzi

Inno laka

JF-Expert Member
Mar 24, 2012
1,616
583
Wana jf m nipo katika uhusiano na huyu mpenz sasa unaenda mwaka, tatizo lake n moja tu hatak kunipa penz.,kila nikimuambie kuhusu inshu hyo ya kuduu.' tunazinguana sana mashart anayonipa mi kama siyaelewi kabisa hiv utamsubiria mwanamke miaka nane bila kuduu hapa si napigwa changa tu ndugu sana..
 
Nilikuwa kwenye mahusiano toka 2008 hadi leo ila hayo mambo sijafanya kwani nampenda kweli kuhusu kuduu hayo ni mambo ya baade kidogo kwanza jenga upendo ndio ukimbilie kuduu waweza wahi then ikawa mwisho
 
Wana jf m nipo katika uhusiano na huyu mpenz sasa unaenda mwaka, tatizo lake n moja tu hatak kunipa penz.,kila nikimuambie kuhusu inshu hyo ya kuduu.' tunazinguana sana mashart anayonipa mi kama siyaelewi kabisa hiv utamsubiria mwanamke miaka nane bila kuduu hapa si napigwa changa tu ndugu sana..

Aaah! babu we piga chini huyo, mbona wengine aliwapa?!! ........au ni bikra?!!
 
Love as an indescribable inner feeling, I believe, can only be demonstrated physically kwa sex. Kwa wanaume wengi, mapenzi yanabaki kuwa ni porojo kama hayajawa demonstrated kwa kufanya physically.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom