BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
Ni kweli hana mfano mkuu.
Sii unakumbuka alivyouza nyumba zetu kishabiki tena kwa demu wake na nduguze?kisha akatuambia ss wananchi wa kigamboni ambao hatuna ongezeko la nauri ya kivuko tupige mbizi?sasa ww ktk maisha yako uliwahi kusikia kauli chafu kama hiyo???????
Hivi unajua kauli chafu wewe? au umepandikizwa na maadui wa Magufuli hivi kupiga mbizi ni kauli chafu je angesema HUNA AKILI WEWE NA WOTE MLOTAKA KUANDAMANA KUPINGA NAULI YA MIA TATU ingekuwa ni kauli nzuri kwenu na wabunge wenu wachovu? Siyo kila kitu uchangie kama huwezi kuheshimu kazi nzuri za wenzako mbiga mbizi.