Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Wewe acha kusema bila kumjua mtu vizuri....Ukishakuwa wa magamba hata tabia ni za kimagamba,Magufuli alikuwa mzuri ila magamba yamemuharibu sana siku hizi,yuko kichama zaidi na si kiutendaji....Waziri Magufuli ni the best Minister ever, ukimuacha marehem Sokoine.
Hana lolote jipya