Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,801
- 59,274
Nilimaanisha kuwa ubishi wako utanishawishi nikutafute....halafu baadaye utaamini niliyoyasema.
Kwanza huwezi kunitafuta kwasababu sijapotea, pili nafasi ya kufanya niamini haipo labda ndotoni.