Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

Hongera kwa kufanikiwa kumwachisha kazi
Na kutujuza kuwa ni wa kiwango hicho hadi kuhofia mijanaume ya ofisini kwake

Sasa basi, lini tuje kumzindua kama albam ya diamond?
 

wewe mwenyewe utatuletea feedback hapahapa.

Halafu nie ndio mnaowasabishiaga wake zenu matatizo, nw ndg zako wanajua mkeo hafanyi kazi, siku ukifa mkeo ananyanganywa kila kitu na nduguzo, saa hii unajifanya unampenda, unampenda unamuandalia matatizo.

Hebu mie nijiindee zangu home
 
kwani hapo nyumbani unashinda nae???unaamini vip kumuacha peke yake mchana kutwa.heheheheheh.... pole sana
 
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.

Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.

Mkuu sidhani kama suala la kumuachiza lilikuwa ni jambo la busara sana especially kama yeye mwenyewe hajaridhia. Natambua wivu ni kitu cha kawaida katika mahusiano especially kama unmpenda kwa dhati lakini wivu ukipitiliza mipaka unaweza ukaleta madhara kama hayo ya kumuchisha mke wako kazi. Embu jiulize swali hili kama mke wako angekuambia uache kazi halafu ukae nyumbani ungejisikiaje?? ungekubali??
 
Kwa nini mnapenda kufikiria mambo katika negative side? Always be positive.
Its ril gud to b positive-minded ila isizidi sana kiasi cha kuwa care-free haswa katika mambo kama haya, najua kwa sasa hautanielewa bz u a obsesed..
 
Naona mnamlaumu na kumshtumu jaama,mwenyewe niko mbioni kumwachisha wa kwangu kazi!msicheze na hisia na mioyo ya watu.

..hata kwako tutamjia tu na utamu tutaufaidi,mara watu wa hisia kali dizaini yako wengi wenu mlichelewa sana kujihusisha na mambo ya kimapenzi na mahusiano ndo mawivu hadi kwenye kucha..
 
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.

Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.

Mkuu, hilo jambo hata sikuungi mkono. Kwanini umwachishe kazi mwenzio, Je umemwandaaje kwa maisha ya badae? hatuombei mabaya, ghafla Muumba amuue kukurudisha kwake, mwenzio utamwacha anaendeshaje maisha yake? fikiria uamuzi wako tena
 
Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani.


tatizo lako ni kutokujiamini tu, unajiona wa thamani ya chini ukijilinganisha na wanaume wengine
 
Mkuu, hilo jambo hata sikuungi mkono. Kwanini umwachishe kazi mwenzio, Je umemwandaaje kwa maisha ya badae? hatuombei mabaya, ghafla Muumba amuue kukurudisha kwake, mwenzio utamwacha anaendeshaje maisha yake? fikiria uamuzi wako tena

Kwani watu wote wanishije?
 
..hata kwako tutamjia tu na utamu tutaufaidi,mara watu wa hisia kali dizaini yako wengi wenu mlichelewa sana kujihusisha na mambo ya kimapenzi na mahusiano ndo mawivu hadi kwenye kucha..

Bamsindilee, anoga!
 
Mkuu sidhani kama suala la kumuachiza lilikuwa ni jambo la busara sana especially kama yeye mwenyewe hajaridhia. Natambua wivu ni kitu cha kawaida katika mahusiano especially kama unmpenda kwa dhati lakini wivu ukipitiliza mipaka unaweza ukaleta madhara kama hayo ya kumuchisha mke wako kazi. Embu jiulize swali hili kama mke wako angekuambia uache kazi halafu ukae nyumbani ungejisikiaje?? ungekubali??

Yeye mwenyewe karidhia.

Hata angenambia mi nikae nyumbani wala siyo ishu, mbona kuna akina baba wa nyumbani kibao tu
 
wewe mwenyewe utatuletea feedback hapahapa.

Halafu nie ndio mnaowasabishiaga wake zenu matatizo, nw ndg zako wanajua mkeo hafanyi kazi, siku ukifa mkeo ananyanganywa kila kitu na nduguzo, saa hii unajifanya unampenda, unampenda unamuandalia matatizo.

Hebu mie nijiindee zangu home

Hakuna cha matatizo wala nini
 
Back
Top Bottom