Nampenda sana, sipendi afanye kazi.

una fikra mgando weye mmh pole sana.
nikuambie tu kama ipo ipo na kama haipo mmh unajisumbua tu.
tafakari chukua hatua.

Nimetafakari sana tu mwishowe nimekuja na hayo maamuzi magumu. Mambo sasa shwari.
 
Sijui kwanini hii post imenichekesha sana....kuna msemo waswahili wenzangu tunasema,'binadamu ni kama bahari' huwezi kumchunga mtu mwenye akili zake na matamanio yake...kutulia ni uamuzi wa mtu na si lazima.
 
  • Thanks
Reactions: LD
Sasa huko si atapata ugonjwa wa moyo kabis akumuachia simba mwanambuzi alelee
Kama tu hapa mjini na anajua mkewe kaenda ofcn inakuwa issue ni akae mbali nae kwa miezi kadhaa si jamaa atakufa kwa wivu
Aise wivu mambo ingine bana

"Bila wivu atajuaje kama kweli nampenda"
 
Bado huja fanya kazi hapo ungemuekea na camera ukamuona anachofanya nyumbani,mueke na Chui, Simba ili uwe na amani zaidi....
Alikwambia nani mwanamke analelewa hivyo? sijui nikwambie!!!!!!!!
 
Kalaghabaho
Wakati wewe unajua huku wenzako washajua kule
Eti msichana wa kazi na majirani
Duh mkuu funguka macho na masikio sikia la kuambiwa
Ni majirani haop hao watakaokuw awanashinda kwako na house gal huyo huyo atakayekuwa anawapikia chakula wale wapendwa mauncle wa mkeo
Mkuu nimeweka intelijensia ya hali ya juu.
Anayechunguza naye anachunguzwa.
 
jambo la ajabu sana hili
Yaani unamwachisha mkeo kazi kwa sababu ya wivu
Hiyo mijamaa ya ofcn kwake alikuwa na uhusiano nae
Je mchana kutwa unamlinda asitoke nje ya nyumba yako

hivi siku utamkuta na mtu ndani ya nyumba yako hiyo hiyo utasemaje
maamuzi mengine ya ajabu sana

Hilo nalo ni swali muhimu sana!
 
Sijui kwanini hii post imenichekesha sana....kuna msemo waswahili wenzangu tunasema,'binadamu ni kama bahari' huwezi kumchunga mtu mwenye akili zake na matamanio yake...kutulia ni uamuzi wa mtu na si lazima.

Binadamu anachungika, ukiamua kumchunga unaweza.
 
Mkuu nimeweka intelijensia ya hali ya juu.
Anayechunguza naye anachunguzwa.

Haya mkuu
Dunia ya leo kila kitu kinaenda kwa wakati uliopo
We endelea na kuna siku hata taarifa za uongo utapewa maana wanachotaka hao walinzi wako ni pesa
 
Mkuu nimeweka intelijensia ya hali ya juu.
Anayechunguza naye anachunguzwa.

Kwa mpango huu, unaweza kufa siku si zako!! Maisha gani hayo ambayo hakuna kuaminiana! Nakupa pole, anagalia sana, ukimlinda sana mtu, unaweza kuja kupata surprise ya uhakika.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Bado huja fanya kazi hapo ungemuekea na camera ukamuona anachofanya nyumbani,mueke na Chui, Simba ili uwe na amani zaidi....
Alikwambia nani mwanamke analelewa hivyo? sijui nikwambie!!!!!!!!

Kama nampenda lazima nimlee hivyo.
Au nikupe namba ya simu halafu uone kama utaweza kum-comvinsi
 
"Bila wivu atajuaje kama kweli nampenda"

Kuna wivu na wivu mkuu
Sio kila wivu unaousema wewe ni wa maana
Mwingine haufaai
Maana kiwango cha kumchunga mkeo unachotumia ungekitumia kuzalisha ungekuwa mbali sana
Kama unampenda shinda nae nyumbani kutwa, sokoni nenda nae, Kanisani/msikitini nenda nae, salon nenda naye na hata kokote anakotaka we nenda nae usimwachie nukta ya kusogeza mguu bila wewe hapo utasema kweli umelinda
Ila hiyo ya kwamba anashinda mchana nyumbani na anaenda sokoni na kwingine akiamua kukucheat atafanya tuu
Kumbuka kwa mwanaume hahitaji siku nzima kukaa na mkeo mpe dakika kumi tuu ashamaliza mambo yake na mkeo hata kama ni washroom
 
Kwa mpango huu, unaweza kufa siku si zako!! Maisha gani hayo ambayo hakuna kuaminiana! Nakupa pole, anagalia sana, ukimlinda sana mtu, unaweza kuja kupata surprise ya uhakika.

Suala la kupata suprise hilo sahau. Ananipenda na kuniheshimu sana.
 
Back
Top Bottom