sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Duuuh!!!!Hiyo pombe inanywewa kupitia chupa zinazoitwa keypads bila shaka. Wahudumu ni FF, Mamdenyi, Miss Malaika na Husninyo. Meneja wa baa ni Ritz akisaidiwa na kaka yake Rejao. Walinzi wa mali na usalama wa raia wanaokunywa ni Figganigga, Rev. Masanilo na Nyani Ngabu.