Nampenda sana Mama yangu mpaka Baba anapata wivu hatari. Vipi hii tena?

Kweli nimeamini hata chui akiamua kumuacha swala akaenda sitoshangaa


Dada yangu nikutake radhi kwa jinsi nilivokuchukulia, niwe mkweli na muwazi kabisaaaaaaa nikutake radhi



Kwa hili uliloliongea liko juu ya uwezo wa uelewa wa mtu asiye makini na mwenye upeo mdogo wa kutumia jicho lake la tatu,
Hakika wewe utapita na pengine utakufa, lakini maneno haya yataishi milele mwa kichwa cha mwelewa pia yaweza kua dira ya mtu mwenye nia njema na anayeitakia afya njema ndoa yake,,,,,,,,

Sitopunguza chochote wala kuongeza chochote katika nasaha hii, hapa nilazima niwe magufuli kwa kuimeza nzimanzima

Naamini umetumwa na Mungu kutufunulia sisi.

Hata maandiko matakatifu yanasema hivihivi


Mungu akubariki na uishi katika misingi ya kauli hii hakika utakua mama bora
Wow, sifa na utukufu ni vya Mungu. Sema hapo mwanzo sijakuelewa kidogo, kwa nini unanitaka radhi? Ulinichukuliaje/umenichukuliaje?

"Hata chui akiamua kumuacha swala, akaenda" mmmh
 
Ni kawaida kwa watoto wa kiume kuwapenda sana mama zao, na watoto wa kike na baba zao. Ni kawaida sana as long as you don't overdo it. Kwa wa sasa hivi haina shida sana. But utakapooa ndipo utakapoelewa tabu ilipo. Mama Ni mama na mke Ni mke, jua kuwapenda hawa watu wawili differently, kwa sababu wana different purposes kwenye maisha yako. Kumcompare mkeo na mama ako is such a grave mistake, hutodumu na mwanamke unless muamue kupeleka siku tu

I personally wouldn't want to get married to a man whose umbilical cord us still tied up to his mother. you won't do your wife any justice kwa style hiyo. Chochote mnachotaka kukifanya utataka uombe ushauri kwa Mama ako, si mbaya kuomba ushauri kwa wakubwa zenu, but again mama yako hatakiwi kuwa final say kwenye ndoa yako (nahisi hiki ndo utakachokifanya kwenye ndoa yako). Siku utakayoaccept kwamba inabidi uachane na mama/ wazazi wako na uambatane na mkeo, basi utakuwa na ndoa njema, otherwise mmh sijui. Hata siku moja usije ukaliganisha alichokuwa anakufanyia mama yako na atakachokufanyia mkeo. Afu mama yako unamjengea saikolojia mbaya sana, sijui kama ataaccept kwa urahisi kuwa kuna mtu mpya (mke) kwenye maisha yako, watacompete mnooo for your affection. Kama still upo home hujapanga bado, it's time u-move out. Uanze taratibu kujitegemea kihisia alone
Ushauri mzuri sana huu,
Mi pia nampenda sana mama yangu, lakini sitakaa nimshirikishe mambo yahusuyo mahusiano yangu na mke wangu. Bora mtu wa nnje anishauri kuliko kumtegemea mama anishauri.
 
Wow, sifa na utukufu ni vya Mungu. Sema hapo mwanzo sijakuelewa kidogo, kwa nini unanitaka radhi? Ulinichukuliaje/umenichukuliaje?

"Hata chui akiamua kumuacha swala, akaenda" mmmh
Nitangulize samahani pia kwa kukuacha bila kuelewa,
Niliwahi kupishana na wewe kwa kauli kipindi cha nyuma hasa ksma matani lskini as time goes nilikuchukulia kama mlopokaji na mtu asiyeweza kufikiri,

Lakini kwa hili ulilonifumbua leo, najikuta nafuta kila kitu hasi juu yako na kukuhesabu kama kiumbe kipya ndani ya fikra zangu
Natamani watanzania hususani vijana wangekua wanapata nasaha kama hizi, hakika ndoa za vimondo zingefutika na watu wangezifurahia
Bwana awe nawe katika kila unyayo wako, na ulinzi wa muono wako utoke katika sauti ya Mungu
 
hahaha. ..umenikumbusha mbali sana...i remember my first relationship breakup nilimlilia mama
 
Nitangulize samahani pia kwa kukuacha bila kuelewa,
Niliwahi kupishana na wewe kwa kauli kipindi cha nyuma hasa ksma matani lskini as time goes nilikuchukulia kama mlopokaji na mtu asiyeweza kufikiri,

Lakini kwa hili ulilonifumbua leo, najikuta nafuta kila kitu hasi juu yako na kukuhesabu kama kiumbe kipya ndani ya fikra zangu
Natamani watanzania hususani vijana wangekua wanapata nasaha kama hizi, hakika ndoa za vimondo zingefutika na watu wangezifurahia
Bwana awe nawe katika kila unyayo wako, na ulinzi wa muono wako utoke katika sauti ya Mungu
Mmh sina uhakika kama ni mimi tuliyepishana + uropokaji mmh maybe. Anyway, kama tulikwazana tusameheane tu ndugu.

Thanks much kwa kunibariki, ubarikiwe pia
 
Mmh sina uhakika kama ni mimi tuliyepishana + uropokaji mmh maybe. Anyway, kama tulikwazana tusameheane tu ndugu.

Thanks much kwa kunibariki, ubarikiwe pia
Sitaki kukimbusha ya nyuma

Leo umejisafisha kwangu
Nafikiri hii ndio sifa kubwa kwa mama wa kiafrika

Hongera sana
 
Ushauri mzuri sana huu,
Mi pia nampenda sana mama yangu, lakini sitakaa nimshirikishe mambo yahusuyo mahusiano yangu na mke wangu. Bora mtu wa nnje anishauri kuliko kumtegemea mama anishauri.
Na ndivyo inavyotakiwa. Ni vizuri zaidi nyie wenyewe wahusika wawili mkiwa na mawasiliano thabiti, mkayamaliza mambo yenu. Kuomba ushauri nje kuwe kuna necessity kubwa
 
Mmh sina uhakika kama ni mimi tuliyepishana + uropokaji mmh maybe. Anyway, kama tulikwazana tusameheane tu ndugu.

Thanks much kwa kunibariki, ubarikiwe pia
Kwakweli leo umemiminiwa mibaraka ya kutosha sana mkuu, itabidi nami unigawiye hata kidogo jmn.
 
Na ndivyo inavyotakiwa. Ni vizuri zaidi nyie wenyewe wahusika wawili mkiwa na mawasiliano thabiti, mkayamaliza mambo yenu. Kuomba ushauri nje kuwe kuna necessity kubwa
Kwangu hata itakapobidi kwenda nnje kuomba ushauri ntaenda lakini sio kwa mama kwa kweli,
 
Kaka yangu aliwahi kuniambia jambo zuri. Nami nakuombea wewe.

Una macho mawili: moja mwangalie baba, jingine mwangalie mama. Una masikio mawili, moja msikilize baba, jingine msikilize mama. Unamdomo mmoja tu, wasemeshe wote. Msingi ni huu, neno moja kwa wakati mmoja kwa wakati wote. Yaani ukiwa na jambo washirikishe wote kwa wakati mmoja.

Hao wameshirikiana siku zote za maisha yao: ndipo ukazaliwa na kukupa. Si vema kumbagua mmoja kwa sababu yoyote iwayo. Basi usijaribu kuwatenganisha sasa.
 
ImageUploadedByJamiiForums1469935633.894922.jpg
 
Mkuu nahisi wakati wa utoto wako nahisi baba hakuwa na ukaribu na Wewe ile bound ya baba na Mtoto ...Hiyo Kwa mama inakuja automatic.
 
Mimi niliambiwa kitu, ukiolewa na mwanaume anayempenda na kumjali sana mama yake, atakupenda na kukujali pia na wewe saaanaaa

Sishangai mkuu kumpenda mama yke, inategemea na malezi na ukaribu waliokuwa nao toka wanakuwa

Mfano sisi sote nyumban, tunampenda sana mama na kila kitu tunakimbilia kwa mamacoz tulivyokuwa alikuwa cool sana, mzee alikuw mkali sana
 
Tuendako hii maada inatupeleka kukufulu.


Kama mwanaume ukampenda mama sio kosa ila kuwe ba mipaka

Kuna vitu vingine tunapaswa kuvijua hasa kwenye maleze mama na baba wamegawana majukumu,
Kwa mfano suala la nidhan hua inajulikana liko kwa mshua, na ikumbukwe tuu kama baba ndani ya familia hili ukilikwepa imekula kwako sote ni mashahi kuna uwezekano mkubwa ugomvi mkubwa wa baba na mtoto husababishwa na mama zao, hii lawama kamwe haitokwepeka mpaka dunia inakwisha, mfano;-

Ukimuudhi mama anaweza kujaribu pale anapoweza ili kukukanya na kwenye hili suala hua ni wakurupukaji wakina mama hua anakanya ili kuondoa hasira zake ba siraha yake hua ni maneno ya mdomo, mwisho watoto huzoea na kuyaona kama ngonjera tu kila wanapokosea mbele ya mama.
Mama akishaona hivo humsemea kwa baba tena huliwakilisha kwa maneno ya kuhuzunisha kweli.
Mshua akisika hilo haki ya Mungu mtamaliza poli utakula kichapo cha maanabili kukirekebisha, baada ya hapo yeye hujuacha na kuendelea na shughuri za kawaida baadae mama anarudi kukupa pole na kukubembeleza usirudie na kila unapokosa mama hukukumbusha kile kipigo cha baba yako na pengine hutoa kau
"" au unanidharau kwa vile mimi mwanamke, ngoja ni mwambie baba yako mwanaume mwenzako tuone"""
Walahi nakuapia hapo baba akija utakula kichapo tena mama baadae hujitenga na kosa hilo huingilia kati na kumwomba akuache basi imetosha eti utakua umesikia, kwa sauti ya mke wake yeye hukuacha na yeye kuendelea na shughuri zingine, akitoka tu mama hurudi kukubembeleza na kukupa pole na pengine kukwambia baba yako yeye sio wa mchezo,

Kwa matukio hayo walahi wewe na baba yako kuelewana ni vigumu mno,

Pia upo usemi kuwa "" ukiona mtoto anamchukia sana baba yake utu uzimabujue mtoto yule amekua kwa nidhamu ya kurekebishwa"""

Hawa ni kwa wale kamwe hawezi patia bila kunyooshwa

Kuna wakati mama anakusemea kwa mzee mfano kakutuma kazi fulani halafu wewe ukaenda mazima ukaja wakati wa msosi, palepale mama anajisemesha eti kale huko ulikokuwa, nimekutuma ukakimbia kwenye chakula unakuja?? Kwa kuwa maza ushamzoeaa, hutokua mbali kwani unajua huruma yake itakuja tu na menyu utapiga
Mzee kama yupo haloo utakula kibano cha maana na msosi hugusi, baadae mama atakupa chakula kwa siri na kuongea na wewe kwa siri,
Utasahau kabisaaaaaaa kama chanzo ni yeye

KWA MAMBO HAYO WAKINA BABA UPATE UPENDO KUTOKA KWA KIJANA WAKO ITABAKI KUWA NDOTO LAKINI HAYO NDIO MAJUKUMU YETU

Ni vyema kama mkiwachukulia hatua sawa na adhabu zikatolewa muda uleule wa tukio hapo mtoto atajua alichokosea sio alikosea asubuhi mana unamsubiri mzee jioni, ndio anye hapo unamjengea bomu
 
Mzee naona unalinganisha mama na mke, watu wawili tofauti na wana nafasi tofauti, kama umeshagonga 30 na una mke na bado una mentality hii itakugharimu sana, na kama ni below 30 huna kazi na unatarajia kumpeti mama akupe hela ya kula au ashindwe kulala kisa unadeka unaumwa wewe siyo mtoto wa kiume

Mshua wako hakuonei wivu, ila hayakuwa matarajio yake kuwa utakuwa kama ulivyo, amekushusha sana na anajaribu kukuweka kwenye mstari perhaps naye angekuwa kama wewe kwa mama yake inawezekana kabisa hata uyo mama yako angekuwa ameshapigwa chini siku nyingi n.k wanaume tunajua mengi sana kuhusu wanawake wetu lakini tunajua namna ya ku deal na upande wao vivyo hivyo

Mwanaume ni msimamo sioni sababu ya wewe kumruka mshua na kwenda kuteta jikoni na mama hizo tabia achia dada zako na mkeo, kama una jambo ita wote seating room mu chat na kushauriana

Mtoto wangu wa kiume ana miaka 4, kuna siku mama yake aliongea upuuzi siku ninampeleka kunyoa akaniambia alivyosema, namuona ana akili kuliko wewe, mama yake kamkataza kuangalia cartoon za spiderman lakini nikitoka kazini ananifata private ananiambia nimewekee kwenye simu yangu mama yake akitokea ananurudishia simu ananiambia nibadilishe lakini anampenda mama yake kupita kiasi, na mimi pia jifunze kubalance na kudeal na vitu kama mwanaumw
Safiiii...
 
Back
Top Bottom