Nampenda sana JK lakini kwa kumuonea huruma zaidi. Ukweli nchi imemshinda. Pita kila mahali ndani ya nchi, kila mtu analalamikia udhaifu wa serikali ya JK. Naungana na beatrice Shelukindo kuwa watanzania wenye mawazo makubwa tuanze kuwaza kuishinikiza serikali iitishe uchaguzi mpya. Katiba yetu inaruhusu. Sioni kama kuna uwezekano wa kuendelea na ombwe la uongozi kwa miaka karibia minne ijayo. ni maoni yangu tu ila I am so frustrated with this administration.