Nampenda sana JK, Ila nadhani Nchi inahitaji Snap elections!

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Nampenda sana JK lakini kwa kumuonea huruma zaidi. Ukweli nchi imemshinda. Pita kila mahali ndani ya nchi, kila mtu analalamikia udhaifu wa serikali ya JK. Naungana na beatrice Shelukindo kuwa watanzania wenye mawazo makubwa tuanze kuwaza kuishinikiza serikali iitishe uchaguzi mpya. Katiba yetu inaruhusu. Sioni kama kuna uwezekano wa kuendelea na ombwe la uongozi kwa miaka karibia minne ijayo. ni maoni yangu tu ila I am so frustrated with this administration.
 
Au kama hiyo itakuwa ngumu, angalao bunge lipige kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ili tumpe rais nafasi ya kuunda serikali mpya labda inaweza kusaidia kusogeza siku
 
Nampenda sana JK lakini kwa kumuonea huruma zaidi. Ukweli nchi imemshinda. Pita kila mahali ndani ya nchi, kila mtu analalamikia udhaifu wa serikali ya JK. Naungana na beatrice Shelukindo kuwa watanzania wenye mawazo makubwa tuanze kuwaza kuishinikiza serikali iitishe uchaguzi mpya. Katiba yetu inaruhusu. Sioni kama kuna uwezekano wa kuendelea na ombwe la uongozi kwa miaka karibia minne ijayo. ni maoni yangu tu ila I am so frustrated with this administration.

Duh! Ni kweli Kikwete ngoma imemshinda hii, nilivyokuwa nikimsikiliza ktk hotuba zake za kampeni moja kwa moja nilihisi huyu mzee anataka mjengo si kwa masilahi yetu bali yeye kwanza.
Kitu kingine kinacho niuma kwa mwenyekiti huyu wa ccm na kunifanya kutoipigia kura ccm hata siku naingia kabulini ni kama ifuatavyo:-
1: Nilisikitika sana Rais JK alipo ikana hadharani Dowans na Richmond, hii ilithibitisha udhaifu wa serikali.
2: Malumbano ya posho za wabunge, sipika na waziri mkuu wanakiri Rais kabariki posho hzo lakn ikulu inaruka futi mia, JK umechemka mbaya mjomba.
3: Watuhumiwa wa EPA mbona wakubwa hawafikishwi mahakamani? Kama kina KAGODA? Kuna nini hapo, mmechemka na tumeisoma hiyo.
4: Nashangaa madaktari wanagoma wala JK ndo anakula safari za ulaya kula bata tu, najua sababu ni kwamba wao huwa hawatibiwi Mhimbili, Bugando wala KCMC wao ni Ulaya au Asia hasa India.
Unasubili mgomo wa madaktari wa India ndo ujue madaktari wamegoma? Umechemka jombaa.
NAKUPENDA LAKINI KWA MTAJI HUU MIMI NA UKOO WANGU CCM HAMTAZIPATA KURA ZETU N'GO
 
"Turning and turning in the widening gyre
The falcon cannot hear the falconer;
Things fall apart; the centre cannot hold;
Mere anarchy is loosed upon the world,
The blood-dimmed tide is loosed, and everywhere
The ceremony of innocence is drowned;
The best lack all conviction, while the worst
Are full of passionate intensity"

- The Second Coming - Yeats
 
Duh! Ni kweli Kikwete ngoma imemshinda hii, nilivyokuwa nikimsikiliza ktk hotuba zake za kampeni moja kwa moja nilihisi huyu mzee anataka mjengo si kwa masilahi yetu bali yeye kwanza.
Kitu kingine kinacho niuma kwa mwenyekiti huyu wa ccm na kunifanya kutoipigia kura ccm hata siku naingia kabulini ni kama ifuatavyo:-
1: Nilisikitika sana Rais JK alipo ikana hadharani Dowans na Richmond, hii ilithibitisha udhaifu wa serikali.
2: Malumbano ya posho za wabunge, sipika na waziri mkuu wanakiri Rais kabariki posho hzo lakn ikulu inaruka futi mia, JK umechemka mbaya mjomba.
3: Watuhumiwa wa EPA mbona wakubwa hawafikishwi mahakamani? Kama kina KAGODA? Kuna nini hapo, mmechemka na tumeisoma hiyo.
4: Nashangaa madaktari wanagoma wala JK ndo anakula safari za ulaya kula bata tu, najua sababu ni kwamba wao huwa hawatibiwi Mhimbili, Bugando wala KCMC wao ni Ulaya au Asia hasa India.
Unasubili mgomo wa madaktari wa India ndo ujue madaktari wamegoma? Umechemka jombaa.
NAKUPENDA LAKINI KWA MTAJI HUU MIMI NA UKOO WANGU CCM HAMTAZIPATA KURA ZETU N'GO
You are right bro
 
"Turning and turning in the widening gyre
The falcon cannot hear the falconer;
Things fall apart; the centre cannot hold;
Mere anarchy is loosed upon the world,
The blood-dimmed tide is loosed, and everywhere
The ceremony of innocence is drowned;
The best lack all conviction, while the worst
Are full of passionate intensity"

- The Second Coming - Yeats

that is companero, the independent thinker!!
 
Back
Top Bottom