Unajua MadameX nakupenda sana oa
Brother; That is not your business, lakini weka akilini simlishi kabla ya kumla.So where you gonna take her out for your first date? Kite-flying? To a finger foods so you can finger feed her? Oh you said hajakupenda b'se of food. So you gonna take her to an extreme sport or laser gaming?
Brother; That is not your business, lakini weka akilini simlishi kabla ya kumla.
Nikiona mwanamke analilia kula out kabla sijamuoa, basi namsamehe sina pesa za kuchezea hovyo :biggrin:Kaka vipi tena? Si umeomba mawazo juu ya "kumtaifisha" hutu mwanadada? Sasa wengine tunaangalia beyond and possible implications. Kwa vile unadai hupendi kumpeleka mwanamke out for a dinner, ndio nauliza utampeleka wapi kama akitaka mtoko?
Ukitaka kula lazima uliwe.
Nikiona mwanamke analilia kula out kabla sijamuoa, basi namsamehe sina pesa za kuchezea hovyo :biggrin:
Nimeoa, kuhsu point yako...kwani wasichana ambao hawajaolewa hawapendi wanaume walie owa.
Ok JF, there is these babe I just got connected to, we've been getting along so well na wala sijafikiria kama yuko katika relationship na mwanaume mwingine until I decided to ask her.
BTW, I really like her personality, and I think she likes me too..siku zote tunawasiliana kwa njia ya simu, fb msgs etc.
Yani utani pembeni kakamilika kama wanawake ambao nao taka kuoa au nilie owa, ukitazama pande zote she is a good girl just that this guy met her before me sababu wanasoma university, katika same collage of medicine...Nataka kujaribu kumsahau kabisa katika moyo wangu, lakini kuna kitu najiuliza kuhusu huyo msichana....what if her present guy is not the right guy for her, and shes just tied down by the relationship?
I want to do the right thing but in this case I really don't know what is right, je ni wachane naye?
If I do, am I going to be a looser sababu she just happen to be wale amabao wana exist in my specification...Hajaposwa na mwanaume ambaye yuko naye sasa na wako pamoja kama miezi minane kama sijakosea kutokana na kauli yake yule msichana.
Hebu nipeni mawazo yenu nimtaifishe jamaa au niwache kwanza nione mwisho wao, naogopa huyo akakosa na mimi nikakosa, akaja mwingine ana maspeed kuliko yetu akamchukua jumla jumla.
Mwanaume anapo penda asifikirie anaye mpenda ataliwa na wengine, kama atabaki na hayo mawazo ataishia kuishi peke yake na shaka zake, dunia hii lazima uwe una muamini unaye mpenda.wanapenda pesa yao na si ati akupende weye.... unaweza kumpata kwa sababu moja na akawa analiwa na mtu anayempenda vilevile
Si unaona wanavyo nitisha wengine wameisha weka menu hapo oaFazaaa Acha uoga...... mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake, kama kamba inaweza kuyafikia hayo majani jaza tumbo mkuu.... tuma application mwongezee huyo binti options za chaguzi zake.... ila kumbuka kuna ukimwi...!