Nampenda lakini naelekea kuchoka.....

Nina mpenzi wangu nampenda sana , ila tatizo kubwa lililopo ni kwamba huko nyuma niliwahi kumsaliti na alinisamee tukaendelea na maisha, lakini toka amenisamee amekua ni mtu mwenye hasira na kuwahi kupaniki hata kwa sababu zisizo na msingi. Inafikia wakati ananiambia kama vipi tuachane coz mapenzi yameisha, ila akikaa siku mbili anakuja kwangu ananiomba msamaha huku akilia na kuniambia ananipenda sana. Kiukweli hali hii imekua ikijirudia mara kwa mara mpaka imekua kero kwangu hadi nahisi mapenzi yameanzakupungua na siku zinavyokwenda naweza kumwacha kabisa,ila sitaki tufike huko. Msaada tafadhari nini nifanye ili niweze kuweka mambo sawa .

Nimegundua kwenye mapenzi ukishafanya usaliti ni ngumu sana kuaminiana. Hapo hata iweje hamtakaa mkawa na furaha kama ili ya kabla ya kusalitiana. Usipoteze muda anza upyaaaaaaaa sehemu nyingine, umeshajifunza na hutarudia makosa.
 
pole, kwa sababu
hayo ndo matunda ya kumcheat umpendaye unapoteza uaminifu hata kama
utasamehewa mambo hayatakua kama zamani, ndo maana kuna msemo wa
NIMEKUSAMEHE LAKINI SITASAHAU.

Naunga mkono hoja,hiyo hitilafu umeisababisha ww,na ww ndo unajua uindoshe vipi kwa kuongeza upendo na uaminifu kwk,km ww ulivo cheat na ht yy hakika yp mbioni kukulipiza kisasi km bado soon.
 
Asanteni sana ndugu zangu kwa ushauri ! Nitafanyia kazi ushauri wenu ili kuweza kumaliza tatizo. Mungu awabariki sana.
 
let matters take their natural ways, if this love was meant for you it will work and if not it will never work out. think all the possibilities and choose the right way for you two.
inawezekana kabisa ukawa umebadilika ila jamii (yeye) bado hakupi nafasi ya kuamin kwamba umebadilka so you can't tolerate that shit for the rest of your life, just quit so as to have peace of mind and while thinking what to be the next step.

angekuwa mke/mume i would have suggested otherwise but just a girlfriend/boyfriend no ways ondoka tena kwa amani tu then you shall see the goodness of God.

Exactly.matatizo mengine huwa tunajitakia wenyewe why would a boyfriend/girlfriend akusababishie high blood pressure at this early age! Quit na move on na maisha
 
by jingle:
Nahisi kuumia kwa mara ya pili!baada ya kusoma mkasa wa hawa wapendwa!mm pia ni mmoja wa waathilika wa mikasa hii!ninamchumba ambaye yuko ktk chuo cha u2nzaji wa kumbukumbu hapa nchini,nampenda sana,nae pia alikuwa akinisisitiza nisije nikamuacha na niwe mvumilivu kwa kipindi kigumu awapo chuoni!2likubaliana kuwa wakweli na waaminifu!kila wakati wa likizo hakusita kufika kwe2 na mama yangu anampenda kupita kiasi!ni msichana wa kawaida aliye jaliwa sura ya upole!tatizo-amebadilika kiasi kwamba nahic kuchanganywikiwa!hapigi sim wala ku2ma msg!tofauti na zaman!hajibu msg na wala hapokei sim!akipokea simu ana2mia kugha ziczo nzuri,mfano unasemaje!nimepiga nikupe hi!maana ni muda uko kimya!then anaongea kwa dharau anakata sim!nikimweleza mama hanielewi hata kidogo!anaigiza au iko vipi hiyo!make kuna movi inaitwa woman of principles!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom