ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Sikushauri mkuu utaambulia maumivu ya kichwa tu kwa huyu mtu labda kama for one night stand!!
mh!!!!!!!!! what an idiot.
Nasikia ni Double Line ya kichina sasa ya nini hiyo si bora ujitafutie Line moja ya FinlandCjali yuko na the so called super star. Najua kuimbisha lazima joket nimkamate. Lazma auelewe wimbo wangu. Nitanyang'anya Diamond by any cost
Cjali yuko na the so called super star. Najua kuimbisha lazima joket nimkamate. Lazma auelewe wimbo wangu. Nitanyang'anya Diamond by any cost
Jf bwanaVipi "harakati za pimbi" ulifanikiwaa??
Weeeeee.......iishie humuhumu.Cjali yuko na the so called super star. Najua kuimbisha lazima joket nimkamate. Lazma auelewe wimbo wangu. Nitanyang'anya Diamond by any cost