Unataka tukuambie Upo sahihi kwa lipi? Kuwa muoga wa kuanzisha nae mahusiano au?
Mtoe akilini mwako endelea kuwa nae kwa kumshauri baadh ya vi2 anavyohitaj msaad take her as a normal friend utalizwa sana mtoto wa weng huyo.
Banaee, kwanini uidhulumu nafsi yako?? tulia jiweke sawa then mueleze shida yako....na wala usiwe na papara hata akianza kigugumizi mpe nafasi na u-relax kwa utulivu mkubwa! naamini kama ukimpata unauwezo wa kumbadilisha na mkaishi nae vizuri kama na yeye atakupenda,
Mtani wangu ulilosema ni jambo la msingi, lakini tukumbuke maisha sio shule pekee, hapa namaanisha kwamba kama nitazingatia shule, nikimaliza shule na nikipata kazi, utaniambia nizingatie kazi, lini nitazingatia moyo wangu na kutendea mwili wangu haki yake ya msingi?
Mimi kwa umri wangu ninaweza kabisa ku-balance mambo yangu, lakini naogopa kutoa moyo wangu kwa mtu ambae sio sahihi.
"don't give your heart to just anyone".[/QUOTE
Utakufa kwa presha wewe....kimbia usiangalie nyuma. Ukiendelea utarudi JF na kilema cha akili
mkuu umenitia matumaini mapya ambayo kiukweli nilishapoteza kabisa matumaini. Nashukuru kwa ushaur wako mkuu.
mkuu umenitia matumaini mapya ambayo kiukweli nilishapoteza kabisa matumaini. Nashukuru kwa ushaur wako mkuu.
mkuu hapo kwenye bold,hata chuo kuna kudisco kuwa makini hasa kama mtu mwenyewe unaona atakuwa anakupa presha hivyo,chuo chenyewe bila shaka ni muccobs,nimenote kitu kwenye maelezo yako so kuwa makini watakula kichwa hikoMkuu labda mngesoma thread kwa umakini kidogo, kwa hali hii michango mingi kwa namna ya ushaur nitaikosa, maana naona naambulia lawama kama vile nimefanya makosa.
Ndio ni mwanafunzi na ninasoma, lakini nipo chuo kikuu. Mahala ambapo mahusiano ni mahala pazuri kuanzishwa na kama tukifanikiwa hapa chuo ni rahisi sana kwa watu kuoana.
Naombeni ushauri utokane na thread na sio hisia binafsi jamani, nina heshimu sana michango yenu.
mkuu hapo kwenye bold,hata chuo kuna kudisco kuwa makini hasa kama mtu mwenyewe unaona atakuwa anakupa presha hivyo,chuo chenyewe bila shaka ni muccobs,nimenote kitu kwenye maelezo yako so kuwa makini watakula kichwa hiko
Rnt u handsome enough kuwa naye??! Kama unajidoubt mwenyewe basi acha kabisa kuwa rafiki tu!
hamy-d naunga mkono wasi wasi wako
tofauti yangu na wewe ni kwamba wewe upo ndani minipo nje
sasa ushauri wangu ni kwamba kama unamtaka kuwa mke wako, I mean a bit of a serious relationship., kwa tabia hiyo atakusumbua kama wengi walivosema. angalia usije kuwa zombie hapo.
naelewa kuwa ni urafiki ulianza japo kwa sasa unaweza kumtokea na akakubali ila ameshakusoma kuwa uko soft so atakusumbua atakavyo. Na sasa hivi huna authority ya kuhoji simu au mitoko yake kwa vile she is not ur love au fiancee sijui niseme..just a friend...
so endeleeni kuwa marafiki ila siku mmoja mgusie kuwa una GF hivi unapanga kumvisha pete uone reaction yake....then mweleze mapungufu yake na kama yuko tayari kuyaacha...kama hayupo tayari potezea jumla,
Mkuu mimi sijaoa na sina mpango huo kwa sasa, lakini kama ilivyo ada, kabla ya kuingia kwenye ndoa inabidi umpate mtu kwanza ili msomane tabia na mambo mengine ya msing, ili msipate shida katika ndoa yenu.
Mimi ni mwanachuo na nimekutana na huyu binti ambae nimemuelezea kwenye hii thread hapa. Ningeomba ushauri wako kutokana na nilichokieleza humu itasaidia sana.