The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Mjukuu hapo kwenye red duh!!Hapana babu si lazima kufelishwa.......hata akifaulu itakuwa maneno....kwa kawaida huwa hairuhusiwi.
Wifi yangu aliolewa na kak yangu mwalimu pale by that time alikuwa anasoma Masters na kaka ndo alikuwa supervisor wake so ilibidi abadilishiwe supervisor kabla hajatokewa!
Mwalimu wangu aliolewa na mwanafunzi wake bahati mbaya wakati wanaanza walijitia kuficha but ilipogundulika tu mwalimu akabadilishiwa vipindi na monitoring ikaanza, mkaka hakuruhusiwa kuchukua kozi yoyote iliyokuwa inafundishwa na mwalimu na kwa zile core ambazo hakuwezakuzikwepa, test zake, assignments zake na mitihani yake ilisahihishwa na mwalimu mwingine!