Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
Tena kwa wenye kisukari ndio wanatu100 sana vikojoleojamani hili neno la vikojoleo,kwa kweli linanifurahisha
Tena kwa wenye kisukari ndio wanatu100 sana vikojoleojamani hili neno la vikojoleo,kwa kweli linanifurahisha
so so so fresh nishawapa ndugu bt stil mtoto bado. Eti anatakasikia toka kwangu, realy nashindwa nisemaje, nifanyaje?
Usiku silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glass................
Nimempigia simu, naona response ipo poa aisee, tena nimetumia simu ya ofisi.
mwambie ku2nga verse we hujui ila unajua kumwambia ya kwamba unampenda na unataka yeye na wewe mkaumbe watoto wenu
Mh au amwombe wakutanishe vikojoleo tehetehetehe
Nampenda binti fulani, mtoto mzuri sana wa hapa kitaani bt kumwambia nashindwa though najua anajua nampenda. Nifanyaje wadau? Nishaurin plz!
so so so fresh nishawapa ndugu bt stil mtoto bado. Eti anatakasikia toka kwangu, realy nashindwa nisemaje, nifanyaje?
ana 24 yrs, mi nataka km vp nimweke ndan, nipeni skils jaman! Kweli kupenda maradhi!
Nimempigia simu, naona response ipo poa aisee, tena nimetumia simu ya ofisi.
Nikimpata mchakachuo wake nitampa wa ukweli tbh!
Nimetoka kuongea na mrembo muda c mrefu, ushauri wenu naona wafanya kazi coz mtoto dah, kafurahi sana, nimemuomba tukutane saturday, sasa nipeni swaga za kumwagia siku hiyo!
Acha uoga wewe, mwambie....