Nampenda binti fulani, mtoto mzuri sana wa hapa kitaani bt kumwambia nashindwa though najua anajua nampenda. Nifanyaje wadau? Nishaurin plz!
Dear ....,sikuli silali nakuwaza wewe,bila ya wewe siwezi kuishi maisha hayana maana bila ya wewe kuwa na mimi .....muandikie barua
Dear ....,sikuli silali nakuwaza wewe,bila ya wewe siwezi kuishi maisha hayana maana bila ya wewe kuwa na mimi .....
Dear ....,sikuli silali nakuwaza wewe,bila ya wewe siwezi kuishi maisha hayana maana bila ya wewe kuwa na mimi .....
mwambie ku2nga verse we hujui ila unajua kumwambia ya kwamba unampenda na unataka yeye na wewe mkaumbe watoto wenu
We ndugu yangu we kabnt kanakupenda kshenzi,hapo hakuna kutongoza ni kuomba kazi tu Au shika sehemu yako ya siri na huyo bnt.nakuomba mchezoMh au amwombe wakutanishe vikojoleo tehetehetehe