ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Kuna wanandoa walikubaliana kuwa, wakiwa pamoja na watoto au watu wengine, na wakataka kwenda kupeana ULODA chumbani waseme wanataka kwenda KUPIGA SIMU
Basi siku moja baba akawa na hamu akamtuma mtoto kwa mama yake kwamba kamwambie mama yako nataka kupiga simu. Yule mtoto akaenda hadi kwa mama yake na kumwambia mama baba anasema anataka kupiga simu
Mama akamjibu mtoto kuwa kamwambie baba yako simu ni MBOVU. Basi mtoto akarudisha ujumbe kwa baba kwamba baba mama kasema simu ni mbovu haiwezi kupigika
Basi na yule baba akamwambia mtoto, kamawambie mama yako, kama simu simu yake ni mbovu, basi mie naenda kupiga nje. Yule mtoto akapeleka ujumbe kwa mama.
Mama kusikia hivyo kamtuma tena mtoto kwa baba yake .Kamwambie baba yako kama ataenda kupiga nje .mimi nitafungua kibanda cha kupigisha mtaa mzima,kila atakayekuwa anataka kupiga NITAMPA
Basi siku moja baba akawa na hamu akamtuma mtoto kwa mama yake kwamba kamwambie mama yako nataka kupiga simu. Yule mtoto akaenda hadi kwa mama yake na kumwambia mama baba anasema anataka kupiga simu
Mama akamjibu mtoto kuwa kamwambie baba yako simu ni MBOVU. Basi mtoto akarudisha ujumbe kwa baba kwamba baba mama kasema simu ni mbovu haiwezi kupigika
Basi na yule baba akamwambia mtoto, kamawambie mama yako, kama simu simu yake ni mbovu, basi mie naenda kupiga nje. Yule mtoto akapeleka ujumbe kwa mama.
Mama kusikia hivyo kamtuma tena mtoto kwa baba yake .Kamwambie baba yako kama ataenda kupiga nje .mimi nitafungua kibanda cha kupigisha mtaa mzima,kila atakayekuwa anataka kupiga NITAMPA