Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Kumbe kuna watu wana akili MMU
Niko na wewe si unajau uoga kama haupo pia heshima hamna...na kama heshima hakuna uoga haupo pia.sio kweli,ukimuaga mumeo/mkeo uendapo mahali ni heshima na sio uoga
Kumbe kuna watu wana akili MMU
Si unajua mtu aliye ona mwezi anaweza kusema unamulika kuliko jua.
Kukosa kujua, ni swa sawa na usiku wa giza.
Hao wanawake wote mara nyingi sana wanaonewa kwa kutaka wao...wawe ma bibi zetu, mama zetu, dada zetu hakuna sheria inayo sema mwanaume amtukane mke wake.
King'asti,
Nakubalina na wewe ila timing ya kuongea hayo mambo ni muhimu sana. Kuna mambo ya kuongea mwanzoni mwa mahusiano especially yale ambayo yanahusu maisha yenu binafsi. Ila mambo ya familia zenu ni vizuri yakaja baadaye sana kama mnaona kuwa mahusiano yenu yana dire na mwelekeo. Na bado, kuna mambo ya familia ambayo si lazima mwenzi wako ajue..!!
Katika hili, watu wanatakiwa kuwa makini ili asijeuza silaha za maangamizi!!
Babu DC!!
...Babu DC mie naomba kuuliza hapo kwenye bold...ni wakati gani muafaka wa kuongea mambo yanayohusu familia zenu? hasa kama kuna dosari/tuhuma dhidi ya wale waliomo ndani ya familia?
Tatizo hatuelewani, hakuna mwanamke anaye omba kichapo kutoka kwa mme wake, na hakuna sheria inayo sema wakubali kupigwa sasa vipi wanyamaze? Hawana mdomo wa kulalamika kwa nini wana nyanyaswa.Una maana kwamba wanaomba kichapo kutoka kwa waume zao?
Wewe huna ndugu hata mmoja ambaye aliwahi kunyanyaswa katika ndoa?
Babu DC!!
...Babu DC mie naomba kuuliza hapo kwenye bold...ni wakati gani muafaka wa kuongea mambo yanayohusu familia zenu? hasa kama kuna dosari/tuhuma dhidi ya wale waliomo ndani ya familia?
naomba nimsaidie mkuu DC kujibu, ....mfano kuna "mna ugonjwa wa wazimu kwenye familia"...
BAK
Mahusiano hayana kanuni yoyote ambayo watu wote au walio wengi hutakiwa kuifuata. Ila kuna mambo ambayo watu wengi wanajikuta wakiyafanya bila hata kufundishwa. Kama ambavyo huwezi kumweleza mgeni mambo mengi yasiyomhusu, ndivyo ambavyo hutajisikia amani kumweleza mpenzi wako mpya details za familia yako. Kwa hiyo binafsi ningeshauri mtu aanze kuongea mambo ya familia yake endapo anaona kuwa huyo mwenzi wake anaelekea kuwa kwenye mahusiano ya muda mrefu. Watu watumie muda mwingi kujiongelea na kufahamiana kabla hawajaanza kuunganisha ndugu, jamaa na koo katika relationship zao. Kama kila GF/BF utamueleza habari za familia yenu (especially zile ambazo si nzuri), utawambia wangapi?
Babu DC!!
...Siyo kila GF Babu DC!!! bali yule ambaye unaona kabisa kwamba kuna kila dalili ya wote kufikia maamuzi ya kufunga pingu za maisha.
14.Kuwa mtulivu.
Usiwe mtu ambae kila saa simu yako inapigwa pigwa na wanaume wasio ndugu wala marafiki wakaribu na wanaoeleweka. Discpline ni muhimu sana.
...'bahati mbaya' na kwa makusudi kabisa, tunapokuwa tu wahitaji hasa kwenye mapenzi...tunajitahidi kwa kila liwezekanalo kutojionyesha tuna dosari yeyote....
...Naam mara nyingi huwa hivyo. Watu hawafikirii kile ambacho wamejaribu kukuficha huweza kumfikia mwenzio kupitia source tofauti na hapo kupunguza imani ambayo alianza kuijenga kwako na hili linaweza kuharibu na hatimaye kuuvunja kabisa uhusiano mzuri wa kimapenzi uliokuwepo.
....inategemeana na utavyojibu baada ya ukweli kubainika. Dont Panic...!
Sote tuna maskendeli na maskeletoni kabatini...mfano, unapohojiwa kwamba unatabia
mbaya ya uzinzi, upigaji, nk...jielezee vizuri tu Umejifunza na umebadilika ili kumjengea imani mpya
mpenzi wako...
Lakini ukijidai kupandisha hasira, Ooohh, "nani kakwambia....sio kweli!"...hapo unatengeneza mazingira
ya mwenza wako mpya ku doubt ukweli wako..Likewise, mapungufu mengineyo ya familia yenu, mfano
mawifi washari,....au 'wanga!'