what if hao wadada wanajuana na wana ugomvi wao tu
so kaamua kumharibia mwenzie?
what if hakuwa mwathirika ni uwongo na fitina?
kwa enzi hizo,inawezekana,ila siku hizi,kupima kwanza,mambo mengine baadae.juu ya yote,soksi muhimu
kujihakikishia usalama wenu, pimeni kabla ya kila tendo la kungonoka....but kwa vile this is not feasible, tukubali matokeo kwamba there is always a chance kwamba mtu anaweza kuvaa mkenge...
Inaelekea unapenda hip hop,sema bas ulikua unasikiliza wimbo gan wa 2pac omar shakur uliokupa mzuka wa kumzukia huyo manzi na sisi tujikumbushe kidogo.