Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
GT, naombeni msaada na tueleweshe jamii ni namna gani utajilinda ama uta-behave unapakabiliana na polisi. Nimeleta uzi huu kutokana na orodha ndefu ya raia wliouawa na polisi bila hatia yoyote na jeshia polisi na serikali haielekei kutafuta namna ya kumaliza tatizo hili. Tazama orodha ya wahanga(japo sikumbuki majina)
wafnayabiashara ya madini wa mahenge waliuliwa katika msitu wa pande.
Daudi mwangosi.
Kijana -tav driver wa kurasini aliyeitwa katika kituo cha polisi cha chang'ombe na kufariki hapohapo kituoni baada ya dakika chache aihojiwa.
Kasulu
vijana wawili waliokuwa wakinunua mafuta katika kituo cha mafuta kule arusha kisha polisi kuja na kuwamiminia risasi.
Na wengine wengi.
Kutokana na hali hii, huwezi kujua who is next?!, hivyo basi tufundishane ni namna gani utaepuka kuuwa na polisi mara akidhamiria kufanya hivyo.
Nawasilisha.
wafnayabiashara ya madini wa mahenge waliuliwa katika msitu wa pande.
Daudi mwangosi.
Kijana -tav driver wa kurasini aliyeitwa katika kituo cha polisi cha chang'ombe na kufariki hapohapo kituoni baada ya dakika chache aihojiwa.
Kasulu
vijana wawili waliokuwa wakinunua mafuta katika kituo cha mafuta kule arusha kisha polisi kuja na kuwamiminia risasi.
Na wengine wengi.
Kutokana na hali hii, huwezi kujua who is next?!, hivyo basi tufundishane ni namna gani utaepuka kuuwa na polisi mara akidhamiria kufanya hivyo.
Nawasilisha.