Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
1. Kodi ya Gari (Road Licence Fee) kwa siku iwe shilingi elfu 25 kwa gari moja. Iwapo kiwango hiki kitapitishwa, kutokana na chanzo hiki pekee Serikali itakuwa ikikusanya zaidi ya shilingi bilioni 750 kwa mwezi. Mpaka sasa makusanyo kwa mwezi kwa Serikali kuu toka vyanzo vyake vyote ni chini ya shilingi bilioni 690.
2. Kodi ya Ardhi KWA UBALOZI WA MAREKANI IWE NI DOLA ZA MAREKANI trillioni MOJA KWA SIKU.
2. Kodi ya Ardhi KWA UBALOZI WA MAREKANI IWE NI DOLA ZA MAREKANI trillioni MOJA KWA SIKU.