Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Inaitia moyo kuona jinsi JF inavyoendelea kukua na kufahamika zaidi. Pamoja na maendeleo ambayo JF imepata mpaka sasa napendekeza njia zifuatazo zitumike ili kuitangaza zaidi na kwa gharama nafuu
Njia ya Kwanza
Tutengeneze matangazo kwenye A3 (black and white) yenye maneno kama TEMBELEA JAMIIFORUMS KILA UCHAO NA INAPATIKANA HAPA www.jamiiforums.com. Matangazo haya yabadikwe kwenye vituo vya basi, mitaani, vyuoni na katika shule za sekondari na msingi. kwa kuanzia tunaweza kuanza kwa kubandika angalau matangazo kama 1,000 na kuona matokeo yake.
Njia ya Pili
Mods waongee na kituo kimojawapo cha Redio ili tuitangaze JF kwa angalau mwezi mmoja kwa kulipia matangazo yasiozidi dakika moja kwa wakati mmoja. Kupitia njia hii katika redio husika JF inaweza kusikika mara tano kila siku au mara 150 kwa mwezi. Na tunaweza kuwa tunafanya hivi kila baada ya miezi mitatu na kupima matokeo yake.
Kama mawazo haya yatakubalika mchango wangu utakuwa shilingi elfu 20 ili JF iweze kufanikiwa na kufahamika zaidi.
Njia ya Kwanza
Tutengeneze matangazo kwenye A3 (black and white) yenye maneno kama TEMBELEA JAMIIFORUMS KILA UCHAO NA INAPATIKANA HAPA www.jamiiforums.com. Matangazo haya yabadikwe kwenye vituo vya basi, mitaani, vyuoni na katika shule za sekondari na msingi. kwa kuanzia tunaweza kuanza kwa kubandika angalau matangazo kama 1,000 na kuona matokeo yake.
Njia ya Pili
Mods waongee na kituo kimojawapo cha Redio ili tuitangaze JF kwa angalau mwezi mmoja kwa kulipia matangazo yasiozidi dakika moja kwa wakati mmoja. Kupitia njia hii katika redio husika JF inaweza kusikika mara tano kila siku au mara 150 kwa mwezi. Na tunaweza kuwa tunafanya hivi kila baada ya miezi mitatu na kupima matokeo yake.
Kama mawazo haya yatakubalika mchango wangu utakuwa shilingi elfu 20 ili JF iweze kufanikiwa na kufahamika zaidi.