Namna ya kuanzisha blog

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Wakuu salam.
Naombeni maelekezo ya namna ya kuanzisha blog, nina kitu nafikiria kuanzisha lakini nahitaji kuwa na hiyo kitu
 
kwa wataalam wetu wa JF tafadhalini, naombeni msaada huo.
 
mi nakushauri kama unataka blog ya biashara fungua wordpress au blogspot ndo ziko visible sana google just fata step hizi

-Ingia website yao mfano

WordPress.com - Get a Free Blog Here


- tengeneza acount bure then activate acount yako kwa kuverify email

-anza kutengeneza blog, blog sio ngumu kutengeneza ni just kuandika maandishi na kupost picha. Sio lazima uwe na uelewa wa kucode.

Jaribu utapokwama rudi kwenye hii thread post ulipokwama
 
mi nakushauri kama unataka blog ya biashara fungua wordpress au blogspot ndo ziko visible sana google just fata step hizi

-Ingia website yao mfano

WordPress.com - Get a Free Blog Here


- tengeneza acount bure then activate acount yako kwa kuverify email

-anza kutengeneza blog, blog sio ngumu kutengeneza ni just kuandika maandishi na kupost picha. Sio lazima uwe na uelewa wa kucode.

Jaribu utapokwama rudi kwenye hii thread post ulipokwama

nawashukuruni sana for your reply, kesho naanza nayo hii. mungu awabariki waungwana
 
karibu kijana ukikwama unaweza kurudi hapa jamvini
unaweza kucheck hapa kwangu
GSHAYO
 
mi nakushauri kama unataka blog ya biashara fungua wordpress au blogspot ndo ziko visible sana google just fata step hizi

-Ingia website yao mfano

WordPress.com — Get a Free Blog Here


- tengeneza acount bure then activate acount yako kwa kuverify email

-anza kutengeneza blog, blog sio ngumu kutengeneza ni just kuandika maandishi na kupost picha. Sio lazima uwe na uelewa wa kucode.

Jaribu utapokwama rudi kwenye hii thread post ulipokwama

sory broda chief! Hv blog huwa
hazna designing? Maana
ktambo nliwah kufungua
wapka.mobi katika ku design
maandish yakawa yanabebana.
Snahamu tangu skuile
nkaipotezea
MSAADA PLZ
 
sory broda chief! Hv blog huwa
hazna designing? Maana
ktambo nliwah kufungua
wapka.mobi katika ku design
maandish yakawa yanabebana.
Snahamu tangu skuile
nkaipotezea
MSAADA PLZ

Hiyo sio blog ila zinaitwa mobile website na mara nyingi websites kama hizo zinazotengenezwa wapka.mobi, wen.ru na xtgem.com zinakua na custom design mfano xtgem wao ili u edit design unatakiwa upaste css yako kwenye folder linaloitwa creator_template.css
 
mi nahitaji jinsi ya kuweka share link ukiwa kwenye mobile view upande wa blogspot.
help me!
 
Hiyo sio blog ila zinaitwa mobile website na mara nyingi websites kama hizo zinazotengenezwa wapka.mobi, wen.ru na xtgem.com zinakua na custom design mfano xtgem wao ili u edit design unatakiwa upaste css yako kwenye folder linaloitwa creator_template.css

anhaaaa nmekupata! Kaka thanks
 
mi nakushauri kama unataka blog ya biashara fungua wordpress au blogspot ndo ziko visible sana google just fata step hizi

-Ingia website yao mfano

WordPress.com - Get a Free Blog Here


- tengeneza acount bure then activate acount yako kwa kuverify email

-anza kutengeneza blog, blog sio ngumu kutengeneza ni just kuandika maandishi na kupost picha. Sio lazima uwe na uelewa wa kucode.

Jaribu utapokwama rudi kwenye hii thread post ulipokwama
Hii inasaidia but ina complication hs kwenye kuchagua domain huwa inagoma....msaada tafadhali..
 
hio domain unayochagua umesha inunua? sio ya mtu?

blogger na wordpress domain zao ni sundomain tu zinakuwa kama jinalako.wordpress.com au jinalako.blogspot.com ukitaka jinalako.com inabidi ununue kwanza.
Nimekusoma bosi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom