Namna ya kuandaa juisi ya Rozella

KWI KWI

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
286
84
Hii...safi sana...Mimi napenda sana juice...kama kuna mwenye kujua aina mbali mbali za ku'blend'' tafadhari tujuzane.

Asante sana.


juisi ya rozella


jinsi ya kutengeneza

1. chemsha maji glass kubwa 12 mpaka yachemke
2. yatoe kwenye moto weka chini
3. weka majani mekundu kijanja (uhi) kimoja na nusu
4. kaa dakika 20
5. chuja
6. weka kwenye glass
7. weka sukari/asali kijiko cha chai kimoja kama unatumia sukari/asali
8. tayari kwa kunywa


angalia yale makapi uliyochuja kama bado yana wekundu, chemsha tena maji glass 6 uweke hayo makapi.

fuata utaratibu huo huo hapo juu.
 
hii...safi sana...mimi napenda sana juice...kama kuna mwenye kujua aina mbali mbali za ku'blend'' tafadhari...........tujuzane...asante sana.
juisi ya rozella

jinsi ya kutengeneza

1. chemsha maji glass kubwa 12 mpaka yachemke
2. yatoe kwenye moto weka chini
3. weka majani mekundu kijanja (uhi) kimoja na nusu
4. kaa dakika 20
5. chuja
6. weka kwenye glass
7. weka sukari/asali kijiko cha chai kimoja kama unatumia sukari/asali
8. tayari kwa kunywa


angalia yale makapi uliyochuja kama bado yana wekundu, chemsha tena maji glass 6 uweke hayo makapi.

fuata utaratibu huo huo hapo juu.
 

juisi ya rozella


jinsi ya kutengeneza

1. chemsha maji glass kubwa 12 mpaka yachemke
2. yatoe kwenye moto weka chini
3. weka majani mekundu kijanja (uhi) kimoja na nusu
4. kaa dakika 20
5. chuja
6. weka kwenye glass
7. weka sukari/asali kijiko cha chai kimoja kama unatumia sukari/asali
8. tayari kwa kunywa


angalia yale makapi uliyochuja kama bado yana wekundu, chemsha tena maji glass 6 uweke hayo makapi.

fuata utaratibu huo huo hapo juu.

Nini faida ya kutumia hiki kinywaji? Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Hii nzuri sana hasa ukipata rosela ambayo ndio imechumwa sio mda sana. Ahsante kwa kutukumbusha ndugu
 
Sina hamu na rozella

Baada ya kuinywa nimeumwa kichwa siku 3!!!!!

Itakua ulikua na damu nyingi ndugu angu coz rozela me hua natumia nikiwa na damu chache pia mama wajawazto wengi pia hua wanashauriwa watumie kwajili ya kuongeza damu, so ww nahisi uikua nayo nyingi tayari , am just guessing lakini
 
Mimi nilitumia daah acha maeneo kunako ndizi yaliuma mno kwa kukakamaa zaidi ya dk 48 nilihisi nimerogwa dushe liwe limenyooka tu ,jamani tumieni hiyo achaneni na mabango ya tunaongeza nguvu za kiume,dawa hiyo acha
 
Mimi nilitumia daah acha maeneo kunako ndizi yaliuma mno kwa kukakamaa zaidi ya dk 48 nilihisi nimerogwa dushe liwe limenyooka tu ,jamani tumieni hiyo achaneni na mabango ya tunaongeza nguvu za kiume,dawa hiyo acha

Kwa ushuhuda huu mfupi,yataanza kununulika kwa spidi sana mixer kupanda bei
 
Back
Top Bottom