akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 788
- 524
Wakuu samahani kwa anajua atujuze maana mf ukipita kwenye migahawa ya wahindi utakuta wana chachandu ya nazi nafikiri huwa wanachanganya na ndim na pilipili lakin mie nimejaribu sipati same taste kama ile.
Ile kitu kwa kachori au kababu ni balaa mbaya hasa ukiamuka una hang over na huna hamu ya kula.
Ile kitu kwa kachori au kababu ni balaa mbaya hasa ukiamuka una hang over na huna hamu ya kula.