Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
hivi eeh....ngoja nikauchukue....
tatizo la Mlachake anaunguza sana akichoma......hajui kuchoma taratibu....
sharti la muhogo...uchomwe taratibu tena na moto mdogo.......
hivi eeh....ngoja nikauchukue....
tatizo la Mlachake anaunguza sana akichoma......hajui kuchoma taratibu....
sharti la muhogo...uchomwe taratibu tena na moto mdogo.......
hebu nami niangalie kama nimeelewa!!@Pretasili....
nimenuna ujue...
hebu nami niangalie kama nimeelewa!!@preta
Hi!
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Naombeni elimu kidogo namna ya ku-mention member kwenye post, mimi nashindwa lakini naona wenzangu mnaweza. Mnafanyaje??
nichumia na woiyo! Teh teh teh tehnuchumia nawi....
tsi kuro nyi....
Asante mpenzi Preta nimekuelewa nami ilikuwa inanipa shida.