- Thread starter
- #21
Ehhhhhh MZAMBIA WEWE MTAALAMU MKUU NIMEKUBALI.....HIYO IMETULIA.Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka