Nammiss First lady wa bongo

Tewe

JF-Expert Member
Jan 11, 2008
1,101
813
Kwa muda sasa sijamuona mke wa ****** aliyekuwa akizunguka ovyo na mishangingi ya serikali na kutafuna pesa za wanaokufa mahospitalini kwa kukosa huduma. Swali langu ni je, viti vya maV8 ya serikali vimewekewa makaa ya moto havikaliki tena au kulikoni? au sikuhizi ananyimwa posho?

Nawasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom