Namlilia Julius Mtatiro...

mtatiro aende hata NCCR kama anaona CDM haimfai kuliko kubaki CUF naamini anaumia sana moyoni amejaribu sana kuiimarisha CUF huku bara ila ndo hivyo tena wapemba wanaona chama ni chao
 
Tatizo la Mtatiro,hajui kupokea ushauri,aliupinga sana mswada huu,lakini wake wanaukubali,sijui yeye atasemaje.

Mtatiro na vijana wenzake wengine waliomo CUF itawabidi wafanye maamuzi magumu ya kuondoka huko. Hawa Wapemba wa CUF wamemdharirisha sana Mtatiro maana yeye alitoa taarifa ya chama ya kupinga,wao wameingia bungeni wameunga mkono. CUF ina mgogoro mkubwa utalipuka hivi karibuni.
 
Mtatiro ni mpiganaji kweli ila wabunge wake ndiyo wameanza kuyumba na kuwa na woga. CCM wamewadandia wanakaa migongoni mwao sasa sijui wakinogewa itakuwaje.....
 
julius mtatiro. Heshima kwako kaka yangu. Pengine ni mtizamo wangu tu. Labda nimepotoka. Vyovyote iwavyo. Lakini kwa muda mfupi niliokaa karibu na wewe. Kwa namna nilivyouona msimamo wako na mapenzi yako kwa watanzania. Nikisikia uko cuf. Na nikifuatilia michango ya wabunge wa cuf bungeni kuhusu suala la katiba. Naweza pata picha kuwa weledi wako upo katika majaribu makubwa. Nasubiri maoni yako.

ameshajitanabaisha kuwa siasa masirahi, anavyolipwa cuf kwake kamaliza kila kitu. Enzi za kuendesha maandamano udsm tulimpenda sana, 2006/2007 na 2007/2008
 
Tatizo CHADEMA mnalazimiasha watu waamini kila kitu mnachoamini nyie Itatiro anaitikadi zake na CUF hivyo si lazima wakubaliane na kila chama kingine kinachoamini. Itatiro nakueombea heri upambane kwa staili yako na si kwa staili ya wanakutukana kuwa unauchu wa madaraka kama mmoja wahao hapo juu alivyocomment. Angalia vyema fuatilia vyema utagundua hawa wandugu wanafukuzia utawala badala ya kuwatumikia wnanchi.
 
Julius Mtatiro. Heshima kwako kaka yangu. Pengine ni mtizamo wangu tu. Labda nimepotoka. Vyovyote iwavyo. Lakini kwa muda mfupi niliokaa karibu na wewe. Kwa namna nilivyouona msimamo wako na mapenzi yako kwa Watanzania. Nikisikia uko CUF. Na nikifuatilia michango ya wabunge wa CUF bungeni kuhusu suala la Katiba. Naweza pata picha kuwa weledi wako upo katika majaribu makubwa. Nasubiri maoni yako.


mtatiro ni msomi na amesoma alama za nyakati... siasa uchwara za cdm hazifanani kabisa na mtu kama yeye ... btw kuna thread alikuja kuwajibu 1-10 kwa nini ahami cuf na haitatokea yeye kwenda chadema ... ukabila... udini... kuchukua posho na kukaa nje ya bunge .. maandamano yasiokuwa na tija .... etcl

 



mtatiro ni msomi na amesoma alama za nyakati... siasa uchwara za cdm hazifanani kabisa na mtu kama yeye ... btw kuna thread alikuja kuwajibu 1-10 kwa nini ahami cuf na haitatokea yeye kwenda chadema ... ukabila... udini... kuchukua posho na kukaa nje ya bunge .. maandamano yasiokuwa na tija .... etcl


uongo,hajawahi kusema hayo. Acha ushabiki wa kijinga ndugu.
 



mtatiro ni msomi na amesoma alama za nyakati... siasa uchwara za cdm hazifanani kabisa na mtu kama yeye ... btw kuna thread alikuja kuwajibu 1-10 kwa nini ahami cuf na haitatokea yeye kwenda chadema ... ukabila... udini... kuchukua posho na kukaa nje ya bunge .. maandamano yasiokuwa na tija .... etcl

kwahiyo hela zetu zinapotea bure kwa wabunge wetu kwenda nje ya bunge wakati bunge liko kwenye kikao na kupiga stori za mipira wa Simba na Yanga huku wakisubiri posho? Nalog off
 
Tatizo CHADEMA mnalazimiasha watu waamini kila kitu mnachoamini nyie Itatiro anaitikadi zake na CUF hivyo si lazima wakubaliane na kila chama kingine kinachoamini. Itatiro nakueombea heri upambane kwa staili yako na si kwa staili ya wanakutukana kuwa unauchu wa madaraka kama mmoja wahao hapo juu alivyocomment. Angalia vyema fuatilia vyema utagundua hawa wandugu wanafukuzia utawala badala ya kuwatumikia wnanchi.

Hapo kwenye red inaonyesha wewe si mzalendo kabisa! Hatuiangalii chadema kama chama au cuf kama chama tunachokiangalia ni je wanafanya nini kwa maslahi ya umma!!?
Tunawashukuru chadema kwa elimu wanayotoa pamoja na misimamo ya yao ya kutetea haki za wanyonge japo wanaktana na vikwazo vya ccm na mafisadi wake ikiwa pamoja na kununuliwa kwa cuf wameendelea kuwa imara.
Karibu tutafika-hata mbuyu ulianza kama mchicha!
 
Tatizo CHADEMA mnalazimiasha watu waamini kila kitu mnachoamini nyie Itatiro anaitikadi zake na CUF hivyo si lazima wakubaliane na kila chama kingine kinachoamini. Itatiro nakueombea heri upambane kwa staili yako na si kwa staili ya wanakutukana kuwa unauchu wa madaraka kama mmoja wahao hapo juu alivyocomment. Angalia vyema fuatilia vyema utagundua hawa wandugu wanafukuzia utawala badala ya kuwatumikia wnanchi.

Hapo kwenye red inaonyesha wewe si mzalendo kabisa! Hatuiangalii chadema kama chama au cuf kama chama tunachokiangalia ni je wanafanya nini kwa maslahi ya umma!!?
Tunawashukuru chadema kwa elimu wanayotoa pamoja na misimamo ya yao ya kutetea haki za wanyonge japo wanaktana na vikwazo vya ccm na mafisadi wake ikiwa pamoja na kununuliwa kwa cuf wameendelea kuwa imara.
Karibu tutafika-hata mbuyu ulianza kama mchicha!
 
kweli Chadema wapo kama mwanamke malaya kila bwana anamtaka, Cuf ni chuo cha siasa kimetoa viongozi wengi waliokwenda ccm na leo ni viongozi wakubwa, mf. Akwilombe-KATIBU WILAYA NYAMAGANA. DUNGA- KATIBU-KITETO, KINGA-KATIBU KIGOMA MJINI, CUF ni chama tofauti na chadema kina matawi na chadema kina tegemea zaidi maaskofu na mapadri, vinginevyo hamna chama.
Yaani kwa kauli zako hizi kama NI cuf UMEKWISHA HATA UWEZO WAKUFILI HUNA KABISAA!
 
Safari ya chadema Ikulu imekuwa na mtazamo wa tofauti pale baada ya kada mashuhuri kushawishika kulifikiria hilo, hakika kuishi kwingi kuona mengi ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
 
CUF inasadikiwa kuwa ni CCM B kwa matendo yake na wala si kinadharia!kuiita CHADEMA CCM A ni utabiri wa haria ya hewa!
 
Safari ya chadema Ikulu imekuwa na mtazamo wa tofauti pale baada ya kada mashuhuri kushawishika kulifikiria hilo, hakika kuishi kwingi kuona mengi ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.
siasa za kitoto kama za Nape!
 
Kwani CDM ikienda ikulu itapewa nafasi ya makamu wa rais kama Seif wa CUF? Mtatiro naye, huko CUF alikoenda ndo kunampoteza namna hiyo hadi aongee hivyo!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom