Namlilia Bob Nyanga Makani

Nimeshtuka kidogo kusikia muswiba wa Mohamed Makani au wengi walivyozoea kumuita (Bob Makani). Kwa kweli ni mswiba mkubwa sana na Tz wamepoteza jabali lisiloteteleka wala kutingisika.

Binafsi nilimfahamu Mohammed Makani mwaka 1974 wakti huo akija nyumbani kwa ammi yangu marhum Eng. Abdullah Salem Al harthy, mtaa wa mazengo upanga ambaye alikuwa rafiki yake kipenzi sana na walipenda sana kuongea kisukuma.

Na alinisaidia sana katika utendaji wangu wa Kazi wakti nikiwa Wizara ya fedha na hata nilipopelekwa Mwanza wakti akiwa BOT kama naibu gavana (Bara) na vile akiwa naibu wanasharia mkuu.

Ni mtu makini sana na asiyyemung'unja maneno na masema kweli daima. nakumbuka mara ya mwisho nilikutana nae siku nilipokwenda Mbazi beach kumwangalia Brig General Mwakanjuki mwezi mei 2011 nilipita mpaka kwake jioni na tuliongea sana. Nakumbuka neno lake la mwisho ni kuwa lazima Tanzania itabadilika na ukweli utawala. WaTz wameshaelimika na kuchagua ukweli kuachana na batili.

Nakukumbuka sana Mohamed Makani.

Inna Lillahi wainna illaihi rajihunna.

I concur with you sir.RIP Mohamed Makani.
 
Nape! Tuko pamoja katika msiba huu, kuna maneno umeyaandika hayakufaa hapa
 
Nnauye Jr

Go back to class and get your instruct take you through stylistics and semantics ili ujue unaandika nini kwa wakati gani, kwa nani, kwanini na katika context ipi. Lakini ukiagalia kila kitu katika narrow scope you remain to be a laughing stock' sorry to say it lakini I have no language to sweeten it.

Au kaende kwa google angalia condolences huwa zinaandikwaje na itakusaidia usiwe unajifungia ndani ya box. Lakini kingine nafikiri unawaaibisha wakufunzi wa Mzumbe University ambapo chuo kiliona sybuss ya degree zake isiwe discipline based sana ipate kupanua wigo wa graduates wake.

Sasa sijui hii quality umeachana nayo au ulifikiri haya yanaachwa kwenye makabrasha. It's a advice that needs unstint value. Others will add value
 
Last edited by a moderator:
Kweli tutasikia mengi, kumbe kuna hakimiliki ya msiba? Hii ngeni kwangu

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
As someone who thinks I don't trust you Nape. Nimebaini vema kuwa you are a "disinterested" (I'm not saying "uninterested") sympathizer coz you bite the very cheek you pretend to be kissing. Come in a different way. YOU AREN'T AS SMART!

R.I.P. Bob Makani The Great. You have gone too soon. Should have waited till after October 2015!
 
Imani yangu inakataa kuwaombea marehemu kwenda mbunguni [mapumziko mema] tunaamini kama ulitenda vyema wakati wa uhai wako unastahili mapumziko mema kama ulitenda mabaya unastahili moto wa milele hata watu wakikuombea mchana na usiku haitosaidia kitu.
Strange one!
 
Mwenyezi Mungu aliyemuumba Bob Nyanga Makani, hatimaye amemrudisha kwake.
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Jina la Bwana na libarikiwe. Amen.
 
Umepambana kuhakikisha siasa za Tanzania hasa za ndani ya Chama chako zinakuwa za kweli na zisizo na uongo, chuki na ubabaishaji! Bahati mbaya umeondoka wakati siasa hizo zilizokukera zikishika kasi kubwa kwenye Chama chako!
Inamaana Mzee BOB alikuwa hataki CDM ishike nchi???? Au ndiyo kufilisika kimawazo na fikra... Naona mnaropoka kwa kuwa hayupo tena Mzee wa watu....

Kama nakumbuka huyu mzee alianguka pale Jangwani 2010, Baada ya kuona CDM inakaribia kuingia Madarakani na imependwa na kukubalika kwa waTZ... Sasa Nape unakuja na Kejeli za nini...
 
Hivi ni sahihi mtu kupewa nafasi ya juu kiasi hicho kama hujui diplomacy?! Ina maana Nape siku ukiwakilisha chama kwenye msiba wa chama kingine hayo ndo utakayoyasema?

RIP CCM
 
Nnauye Jr

Nilikuwa siamini wala siungani na wale waliokuita VUVUZELA, ila kwa hoja yako hii ya kukurupuka, unayotaka kugeuza msiba kuwa mtaji wako kisiasa, tena siasa majitaka umenishawishi niungane na wale niliokuwa nawapinga zamani, WEWE KWELI NI VUVUZELA!
 
Last edited by a moderator:
kama Bob unamlilia, Nyerere utamfanyia nini? ( ? )aliyoyapigania Serikali na Chama chako, jipange.
 
Dogo unamaudhi sana wewe, Hata hujui uzungumze nini msibani? Iko siku utageuzwa kama watoto wa Mubarak kule Misri au yule Seif al slam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom