Nami ni mwenzenu jamani

4 PRINCE

Senior Member
Mar 27, 2011
142
7
Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana.
 
Una post 19 tayari halafu unasema wewe mgeni!angalia sana lakini karibu.
 
Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana.

Karibu sana JF!
Ila napenda kuaminia umejiunga JF ili kujenga Taifa na kuleta mawazo ya kutatua matatizo na sio KUWA tatizo!

Karibu tena!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom