4 4 PRINCE Senior Member Mar 27, 2011 142 7 Mar 28, 2011 #1 Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana.
Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana.
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,139 Mar 28, 2011 #2 karib sana bana. subili tukupigie wimbo wa taifa.
Columbus JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,002 648 Mar 28, 2011 #4 Una post 19 tayari halafu unasema wewe mgeni!angalia sana lakini karibu.
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Mar 29, 2011 #6 4 PRINCE said: Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana. Click to expand... Karibu sana JF! Ila napenda kuaminia umejiunga JF ili kujenga Taifa na kuleta mawazo ya kutatua matatizo na sio KUWA tatizo! Karibu tena!
4 PRINCE said: Salaam ndugu zangu,naomba mnipokee nami kuwa mwana jf.nimevutiwa na mengi sana toka kwenu katika jukwaa hili.Ahsanteni sana. Click to expand... Karibu sana JF! Ila napenda kuaminia umejiunga JF ili kujenga Taifa na kuleta mawazo ya kutatua matatizo na sio KUWA tatizo! Karibu tena!