makandokando
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 299
- 20
Wadau, kwa kweli ingawa baba yake huju kijana anaharibu mbaya, lakini mi namkubali sana huyu jamaa.
Nadhani tukiwa na viongozi kama hawa Tanzania ijayo itakuwa nzuri sana. Anaonekana kuwa amesoma, ameelimika na anajua anachokifanya.
Ni bahati mbaya tu yupo kwenye upande ambao sio wenye (CCM), otherwise mambo yake bomba.
Tuangalia tu huko Bumbuli baada ya miaka mitano kutakuwaje. Sidhani kama nahitaji kulist mambo yake, kwa sababu, tofauti na viongozi wetu wengine wenye longolongo nyingi na walioamua kuendelea kukaa karne za enzi za mawe, huyu jamaa ana website (moja ya kitu ninachomfagilia, wabunge wetu wengine sijui kama wanawebsite zitakazotupa habari kuhusu mambo wanayoyafanya) na ukienda kwenye website yake unaweza kumfahamu vizuri.
Ila big up January, keep it up....proud of you.
Nadhani tukiwa na viongozi kama hawa Tanzania ijayo itakuwa nzuri sana. Anaonekana kuwa amesoma, ameelimika na anajua anachokifanya.
Ni bahati mbaya tu yupo kwenye upande ambao sio wenye (CCM), otherwise mambo yake bomba.
Tuangalia tu huko Bumbuli baada ya miaka mitano kutakuwaje. Sidhani kama nahitaji kulist mambo yake, kwa sababu, tofauti na viongozi wetu wengine wenye longolongo nyingi na walioamua kuendelea kukaa karne za enzi za mawe, huyu jamaa ana website (moja ya kitu ninachomfagilia, wabunge wetu wengine sijui kama wanawebsite zitakazotupa habari kuhusu mambo wanayoyafanya) na ukienda kwenye website yake unaweza kumfahamu vizuri.
Ila big up January, keep it up....proud of you.