Mkuu thread yako ni nzuri ila badili heading!maana vilaza wa magamba wao uwa wanakimbiliaga kusoma heading bila kupitia contents,na nafikiri umeshajionea mwenyewe!
Hakuna haja ya kubadilisha hiyo ni njia nyingine ya kifasihi ya uandishi ikiwa ni pamoja na kuvutia wasomaji kwa mfano mimi nilikuwa napita tu lakini hiyo heading imenilazimisha kufungua thread. big up mwandishi endelea kudai haki yako kwa njia hiyo uliyoichagua maana ndiyo bora "VOX POPULI VOX DEI"