Umepima lakini, si mja mzito?
Shosti unaelekea unataka mane no ya watu ya rohoni, si mda mrefu ulikuja na mpya kua mume kafunga cm na ukampaka matope tele Leo umekuja na balaa jengine usikilize Moyo wako.
I know kumbadilisha mtu mzma ni kazi lkn acha nijaribu njia hii pamoja na maombiMueleze! Men are not mind readers, muambia unamchukia kwa sababu 1, 2,3... Asipobadilika follow ur hear mamii! Maisha yenyewe yako wapi ya kuishi unachukia kila saa! Leo naingia kwenye fb wall ya mtu tuliyewasiliana alhamis last week naona kila mtu kamuandikia RIP, nikasema kirrrruuuu!
Yaani unachukia kwa sababu ana wivu uliopitiliza na humchuki kwa kuwa serial cheater? Eh!
Ikubali hiyo hali akiona hujali, ataacha. Ila unavyoMIND ndio anaconclude zoezi lake linafanya kazi. Pole sn.
I know kumbadilisha mtu mzma ni kazi lkn acha nijaribu njia hii pamoja na maombi
Huyu davina si ndo alisema
anataka kuachana na mumewe sababu hapigi simu akisafiri?
Eti ni mvivu wa mawasiliano?
Kama ndiye ana lake jambo, kidumu kimekolea.
habar zenu wan jf..nimeridi tena..me nina miaka 25.nimeolewa na nina mtoto wa miaka 2.miaka yote niliyoishi na mume wangu tumepata mafanikio japo nimepitia matatizo mengi kwa kuwa huyu mume kanizidi cna umri na ni mtu wa totozi sana
sasa kwa kuwa nimetoka ktk familia ta wacha mungu nikaona nipambane na maisha huyu ndiye mume mungu aliyenipa.
Nimekuwa nikivumilia na huu ni mwaka wa 7 wa maisha yetu pamoja lakini nakereka na vitabia vingi ukiwamo wivu alionao kwangu wa kuputiliza natabia ya kuweka watu wa majirani na ofisini kwangu wanichunguze nan anakuja nan nna mazoea nae hasa wanaume.
Hiki kitendo huwa kinanikera nataman hata cjui nifanyaje na nkimuuliza asema et hawez acha kufanya hivyo coz me mkewe.kiukweli ni mbishi.
Ukweli ni kuwa me kma mwanamke mrembo kutongozwa ni kitu cha kawaida lakini sina mahusiano nje ya ndoa yangu.
Hapa nilipofikia nahisi namchukia mume wangu..what am gona do au niishije na huy mtu bila kukwazika?
Nikimuona nasikia kulia tu na nikilia anasema eti kuna mtu namkumbuka dats y nalia.wakubwa wangu nielekezen kidogo ntaipoteza ndoa yangu
kuna vitu vingine ni kujidanganya saana
mtu unajua hupendi ugali
unajilazimisha kula eti ugali ni chakula cha taifa
lazima nipende kula ugali.........
huku unawaona wanaokula pilau na vyakula vingine wanafaidi na udenda unakutoka...
utasema ni lazima ule ugali.......
amua tu siku moja kuwa kuanzia leo sitaki kula ugali
na wewe tafuta pilau uanze kufaidi.....
Habar zenu wan jf..nimeridi tena..me nina miaka 25.nimeolewa na nina mtoto wa miaka 2.miaka yote niliyoishi na mume wangu tumepata mafanikio japo nimepitia matatizo mengi kwa kuwa huyu mume kanizidi cna umri na ni mtu wa totozi sana
Sasa kwa kuwa nimetoka ktk familia ta wacha mungu nikaona nipambane na maisha huyu ndiye mume mungu aliyenipa.
Nimekuwa nikivumilia na huu ni mwaka wa 7 wa maisha yetu pamoja lakini nakereka na vitabia vingi ukiwamo wivu alionao kwangu wa kuputiliza natabia ya kuweka watu wa majirani na ofisini kwangu wanichunguze nan anakuja nan nna mazoea nae hasa wanaume.
Hiki kitendo huwa kinanikera nataman hata cjui nifanyaje na nkimuuliza asema et hawez acha kufanya hivyo coz me mkewe.kiukweli ni mbishi.
Ukweli ni kuwa me kma mwanamke mrembo kutongozwa ni kitu cha kawaida lakini sina mahusiano nje ya ndoa yangu.
Hapa nilipofikia nahisi namchukia mume wangu..what am gona do au niishije na huy mtu bila kukwazika?
nikimuona nasikia kulia tu na nikilia anasema eti kuna mtu namkumbuka dats y nalia.wakubwa wangu nielekezen kidogo ntaipoteza ndoa yangu
Ili usimchukie MPENDE.
Badala ya kukereka akikufuatilia chukulia kwamba anakupenda sana hivyo anakulinda.
I know kumbadilisha mtu mzma ni kazi lkn acha nijaribu njia hii pamoja na maombi