Namchukia Jakaya Kikwete

Huyu mutu sio rais ni clown!
Ndio maana bado anatembea na shingo ndefu.
Kama kweli Tz umechagua clown kuwa rais, hamna mtu aliye serious nchi nzima AMA sivyo angeshatolewa!
 
Leo nilimwachia wife pesa ya kununua mafuta ya mboga lt tatu nimekuta hajanunua kumuuliza kwanini anasema mafuta yamepanda bei kutoka 8000 mpaka 9000 nikasema kazi imeanza sijui mpaka 2015 itakuwangapi ukizingatia nyama kilo imeshapata 4000 mpaka 4600.....Naomba aje punguwani aniambie kwanini nisimchukie Kikwete
 
Wapo wanaomchukia lakini pia wapo wanaompenda kwa kila hali ambao ni wengi. All in all mtu hawezi kupendwa na kila mtu regardless of whatever. Lakini naamini wasiompenda ni kwa sababu za kisiasa, na mimi mtazamo wangu ni kuwa katika kuendesha nchi hasa nchi changa kama zetu ambapo watu wengi wanaingia kwenye siasa kwa ajiri ya kujipatia utajiri na siyo kusaidia yule mwananchi anaeishi kwenye nyumba ya tembe, naona hata kama kesho mpinzani akawa rais bado hataweza kumsaidia yule wa nyumba ya tembe aliye hali ya nchini zaidi, na wale watakao kuwa wanamzunguka na wateule wake wote wataona nawao ndiyo muda wao wa kujinufaisha hivyo utakuta umaskini uko pale pale na ufujaji wa mali ya umma unaendelea. huo ndyo ukweli ingawa kuna baadhi ya watu hawatakubali sababu wanafikiri upinzani ni malaika. Kimsingi mwananhi inatakiwa yeye awe wa kwanza kupambana na umaskini serkali iweke mazingira fulani - sera walau kumwezesha kufanikiwa asilimia 50 katika kupambana na umasikini.
 
Chuki zenu kwa Mheshimiwa Rais wa Nchi yetu Jakaya Kikwete hazitosaidia kitu, wakuu jaribuni kuwa wavumilivu jamani Nchi yetu ni Nchi yenye amani na upendo ngojeeni uchaguzi wa mwaka 2015 Mumchague

Kiongozi mnayemtaka sio kuleta chuki na kashfa juu ya Mkuu wa nchi yetu Mzee J.Kikwete. mimi Binafsi yangu nampongeza kwa kushinda uchaguzi ila ningemuomba kwa hiki kipindi cha

miaka 5 ya kumaliza ng'we yake ya Uongozi afanye mabadiliko makubwa ya uongozi wake na maendeleo ya wananchi walala hoi. Kuondosha Umasikini,Ufisadi,Ulaji Rushwa, ujinga na Maradhi naipenda nchi yetu iwe na Maendeleo na viongozi wanaoipenda nchi yao asanteni.
 
mimi ndio namuona kama kimba.

mchakachuaji umeniacha hoi unanikumbusha mambo ya primary enzi hizo.mie nilifikiri niko peke yangu baada ya ufisadi wa kura naangalia channel ten magazeti tu. muda wangu wote naangalia african magic ni bora niwaangalie akina olu jacobs na wenzie.na bongo flavour nazichukia ni balaa wtz naomba hawa vijana wale ccm tususie kazi zao waone nguvu ya uma.
 
its ok to express ur opinions and feelings.


The facts that will remain ni:-

1. JK Is the LEGITIMATE president of the United Republic of Tanzania.
2.Official records that ARE RECOGNIZED emanating from a TRUE and FAIR PRESIDENTIAL ELECTION, indicate that JK won the Majority of Tanzanian Votes. 61% of the votes; more than double of his rival.

And from that, let my general advise is:-


1. Respect the democratic decision; remember in any contest; there is ONLY ONE WINNER. Respect the RESULTS even if your prefered contestant did not win. The Tanzanians have voted; the results are OUT; JK has won. All credible sources acknowledge that; DENIAL OF THAT MEANS YOU DO NOT RESPECT DEMOCRACY.

2. Ukimchukia na usipomchukia, haibadilishi matokeo na ATABAKI KUWA RAIS WA JMT. Endapo itatokea hapo katikati (Mola Amuweke) akawa kwa namna moja au nyengine hawezi kuendelea na KAZI. KATIBA inasema Vice President ndio atakuwa President.


KIND REGARDS
 
Toka kumalizika kwa zoezi la uchaguzi na kutangazwa matokeo ya Udiwani, Ubunge na Urais, namchukia sana Kikwete. Sipendi na wala sitaki hata kuona picha yake, wala kusikia habari zake mahali popote. Ninakacha kuangalia taarifa za habari kwenye Runinga, sisikilizi habari kwa njia ya Radio; na magazeti ndio sitaki kununua kabisa kwa kuchelea kukutana na habari zake.

Amenifanya niwe na wakati mgumu na hii yote ni kwa sababu ametumia madaraka yake vibaya kwa kushirikana na NEC na hao wengine, kuchakachua kura za watanzania.
Nahisi dunia inaenda mbele nyuma. Sijui wenzangu hali ikoje kwenu?

Hata mi namchukia, lakini pia namdharau sana...
 
its ok to express ur opinions and feelings.


The facts that will remain ni:-

1. JK Is the LEGITIMATE president of the United Republic of Tanzania.
2.Official records that ARE RECOGNIZED emanating from a TRUE and FAIR PRESIDENTIAL ELECTION, indicate that JK won the Majority of Tanzanian Votes. 61% of the votes; more than double of his rival.

And from that, let my general advise is:-


1. Respect the democratic decision; remember in any contest; there is ONLY ONE WINNER. Respect the RESULTS even if your prefered contestant did not win. The Tanzanians have voted; the results are OUT; JK has won. All credible sources acknowledge that; DENIAL OF THAT MEANS YOU DO NOT RESPECT DEMOCRACY.

2. Ukimchukia na usipomchukia, haibadilishi matokeo na ATABAKI KUWA RAIS WA JMT. Endapo itatokea hapo katikati (Mola Amuweke) akawa kwa namna moja au nyengine hawezi kuendelea na KAZI. KATIBA inasema Vice President ndio atakuwa President.


KIND REGARDS
 
Nafikiri mimi namchukia kuliko nyie wote kwa sababu ameninyima haki yangu ya kupiga kura kama mwanafunzi wa chuo kikuu na pindi alipoulizwa na waandishi wa habari alijibu kihuni kwamba yeye siye wakuu wa vyuo ili hali akijua kuwa yeye ni ndiye mteuzi wa wakuu wa vyuo na manaibu wakuu wa vyuo. Ndio maana sikushangaa sana kusikia kuwa mmbwa amevalishwa picha yake na tisheti ya sisiem. Ila najua suala moja kuwa kama ameiba kura basi mungu hatamuacha 7bu hatukumchagua au sio chaguo letu na sijui kama miaka mitano ataimaliza watu bado wanamlilia mungu ili atope haki.


I can't say i hate him but the best word is ''he is unloveable'' just like a human dung.
 
Mundu mimi nahisi wewe humchukii kama mimi tena umechelewa sana kumchukia. Kiwango ninachomchukia mimi ni kikubwa kiasi kwamba hata kutumia neno "namchukia" naona kama haitoshi, nakuwa sijamtendea haki. Infact chuki yangu kwake haijaanza wakati wa uchaguzi huu bali toka nilipogundua kwamba Jakaya Mrisho Kikwete haipendi Tanzania wala watanzania maskini isipokuwa familia yake, marafiki zake including wanamtandao na mafisadi kadhaa. Kama nitaambiwa anaipenda Tanzania na watanzania basi nitaomba nisaidiwe maana mpya ya neno kupenda.Nina mifano lukuki ya kulithibitisha hili kwamba jk haipendi Tanzania wala watanzania maskini.

Ninamchukia sana huyu baba I wish hakuomba ridhaa ya kuliongoza Taifa hili zuri. Ila kuna kipindi huwa ninamsamehe bure kwani ninahisi haoni link (correlation) iliyopo kati ya yeye kucheza na rasilimali za nchi hii na vifo visivyo vya lazima vya watanzania wenzetu especially kina mama na watoto under 5. Otherwise angeiona link iliyopo I'm sure hata kama angekuwa na matatizo ya akili angechukua hatua japo kidogo.

At times hata dunia huwa siielewi kabisa. Kwamba wako tayari kumchukulia hatua Elabashiri wa Sudan kwa kuruhusu mauaji ya Darful lakini hawako tayari kumchukulia hatua mtu kama Kikwete, Mugabe na wengineo ambao wanaruhusu vifo vya kizembe kwa akina mama kwa kukosa huduma wakati wa kujifungua na watoto wasio na hatia maskini kutokana na curable diseases simply sababu viongozi hawa hawana priorities kwani mabilioni katika nchi hizi yanaliwa na wachache huku huduma muhimu kama afya zikikosa pesa za kutosha kuziendesha. Kwa takwimu za Tanzania nadhani ni akina mama zaidi ya 500 katika 100,000 hufa kila mwaka kutokana na ukosefu wa huduma wakati wa kujifungua. Dunia haina shida na akina mama hawa wanaokufa vifo visivyo vya lazima ila tu watu wanaokufa kwa bunduki kama kule Darful ndio tatizo kwao na wako tayari kumchukia hatua rais wa nchi.

Labda hujui chuki yako inasababishwa na nini!!!!!! lakini jiulize vizuri moyoni na utagundua ni DHAMBI ya udini ndio inayokutesa. hakika wale wote waliopandikiza dhambi hii kupitia madhabahu wanatakiwa kuteketezwa kimyakimya kwani mbegu walioipanda haitakiwi kuota na kutokeza juu ya ardhi ya watanzania... kama unadhani nakuonea,,,,,, naomba nikosoe kwa huu ushahidi hapa chini.....
NANI ADUI YETU??? MKAPA au KIKWETE????
1.Maliasili(misitu, madini, samaki na wanyamapori) vilianza rasmi kuvunwa chini ya serikali ya MKAPA kupitia mikataba isiyo na tija kwa taifa ambayo tunailalamikia hadi leo.kabla ya hapo hapakuwa na uvunaji wa kiwango hicho.

2.ELIMU nayo ilisambaratika katika utawala wa MKAPA(Kumbuka sakata la ubadilishaji wa mitaala),matumizi ya vitabu tofauti katika mashule,ufutaji wa michezo shuleni, kuzipigia chapuo shule binafsi na kuzinyima ruzuku shule za serikali.

3.USAFIRISHAJI nao ulisambaratishwa kwa makusudi kipindi cha MKAPA kwani ATC,TRC,THA,TTBSLTD, KAMATA na UDA Vilimalizwa na vimeshindwa kurudi hadi leo.

4.MWASILIANO JE???? Kila mtanzania ni shahidi wa jinsi MKAPA na serikali yake walivyolifilisi shirika la simu TTCL na jinsi ambavyo wametumia ghilba kuiondoa CELTEL-(SASA ZAIN) kutoka mikononi mwa TTCL na kuwa mali ya kikundi kidogo cha watu.

5.NISHATI NAKO VIPI????? mnakumbuka IPTL?? Ni kipindi cha uongozi wa MKAPA ambapo TANESCO WALIINGIA MIKATABA YA KIFISADI iliyochangia kuyumba kwa kiasi kikubwa sana kwa TANESCO mpaka kupelekea kashfa nyingine kama za Richmond.

6. KUHUSU MAJI???? NI edward lowwasa aliyefuta mikataba ya kifisadi kati ya wadau na wawekezaji(kumbuka kasheshe la DAWASA kuvununja mkataba na wawekezaji)lakini upuuzi wote ulifanyika chini ya MKAPA.

7.MAADILI ya watanzania kama taifa yaliingia kwenye majaribu kusamabaratika kipindi cha MKAPA
8.Kuhusu UFISADI ndio usiseme kabisaaaaaa,,,,, kwani DEEP GREEN,MEREMETA,EPA,KAGODA NA UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI uliratibiwa na kutekelezwa chini ya serikali ya MKAPA.
9. KUHUSU ULINZI NA USALAMA,,,, ni kipindi cha mkapa ambapo polisi na wahalifu walikuwa wakisaidiana katika kazi zao kiasi cha askari kuwa walinzi wa wanyan'anyi na wananchi wakibaki hawana usalama,
nahitimisha kwa kusema!!!!!! mwindaji akienda porini na mbwa wake kwa ajili ya kuwinda, ni mbwa anayefanya kazi ya kunusa ,kumkimbiza ,mpaka kumkamata mnyama, mwindaji atakachofanya ni kuchinja mnyama na kubeba nyama kwenda nyumbani ambapo pamoja na rafiki zake na wanafamilia watakula nyama yote na kubakiza mifupa na makombo kisha humtupia mbwa. naye mbwa ataona amethaminiwa na ataonyesha furaha yake kwa kutingisha mkia kwa shukrani.
mkapa amewaachia uwanja wa mpira na daraja la mto rufiji kama makombo ili wale wenye silka za mbwa watingishe mikia kwa furaha wakati minofu yote(nishati,madini,maliasili, misitu,viwanda,mawasiliano) amekula yeye,familia yake na marafiki zake,

sikukatazi kumchukia KIKWETE,,, ila nawe tuambie ukiambatanisha na ushahidi juu ya nini kibaya alichoifanyia hii nchi zaidi ya mema na jitihada za kurekebisha yale aliyoharibu MKAPA.
Kama utaruhusu imani(imani za mapokeo ya kikoloni) ziuathiri ubongo wako kiasi cha kushindwa kuona ubaya wa MKAPA kwa sababu tu muumini mwenzako na kumchukia KIKWETE eti kwa sababu ya tofauti ya imani,, basi wewe utakuwa mtumwa wa kifikra wewe na kizazi chako chote.



 
Mimi ndo kabisa, NAMCHUKIA KUPITA KIASI! Sitaki kuona wala kusikia Gazeti ama Redio ikitaja jina lake, wakianza tu habari zake nabadili channel.

Natamani ningekuwa SNIPER
!!:laser:

Of course mie ndo mwathirika namba moja maana nilimchukia kikwete mapema sana hasa baada ya yeye kuunda wizara ya siasa ambayo sijawahi kuisikia popote duniani halafu ikafa baada ya kingunge kuuchoka uwaziri, chuki iliendelea kuimarika pale serikali yake iliposema haijui Balali yuko wapi lakini wakajua kuwa amefariki, nilifikia kiwango kibaya kabisa cha chuki pale Mr Kikwete alipowasamehe wezi wa EPA kwa sababu tu wamerudisha pesa ambazo hazijulikani zimefanyaje kazi kuinua kilimo.
Hivi ninavyowaambia tangu siku ile ya uzinduzi wa kampeni za CHADEMA pale jangwani sijawahi kutazama TBC na nikisikia neno TBC ni kama vile nimesikia maneno kama ufisadi, ccm, Traffic jam, ukimwi, ujambazi, redet, synovate na usalama wa taifa.
 
mimi namchukia zaid Kilove (kunta kunte) na Mkakome (Big toy) kwa kukubali maelekezo. Kikwete ni kiranja wa mafisi. halafu analindwa na ibilisi.
 
Labda hujui chuki yako inasababishwa na nini!!!!!! lakini jiulize vizuri moyoni na utagundua ni DHAMBI ya udini ndio inayokutesa. hakika wale wote waliopandikiza dhambi hii kupitia madhabahu wanatakiwa kuteketezwa kimyakimya kwani mbegu walioipanda haitakiwi kuota na kutokeza juu ya ardhi ya watanzania... kama unadhani nakuonea,,,,,, naomba nikosoe kwa huu ushahidi hapa chini.....
Notradamme una matatizo makubwa sana, actually nakushauri haraka iwezekanavyo ukawaone wataalamu wa tiba za akili ili waucheck ubongo wako vinginevyo siku si nyingi hata hiyo keyboard hutaweza kuitumia.

Jaribu kuisoma tena between lines post yangu na uniambie ni wapi nimegusa issue ya dini. By the way wewe umeijuaje dini yangu na kwamba ninamchukia kikwete kwa sababu ya dini yake?Ni nani alikuambia kwamba nickname ya Bobby inasimama badala ya ukristo? Ninakushauri kama nilivyokushauri last time, please kabla hujanijibu uwe unajipanga, naomba please njoo na hoja za msingi sio na huu upupu wako wa siku zote. Nina mambo mengi ya kufanya na ukiendelea na huu upupu wako nitakuweka kwenye ignore list.

Jakaya Mrisho Kikwete NINAMCHUKIA SANA NA NITAENDELEA KUMCHUKIA MPAKA PALE ATAKAPOACHA KUWATUMIKIA MAFISADI NA KUWATUMIKIA MASKINI WA NCHI HII WANAOOGELEA KWENYE UMASKINI ULIOKITHIRI HUKU WENGI WAKIPOTEZA MAISHA KWA VIFO VISIVYO VYA LAZIMA. Kwa leo ninakupa mifano mitatu tu kwa nini ninamchukia kupita maelezo jk.

1. Wakati tuna idadi kubwa ya watoto wanaosoma huku wakiwa wamekaa chini, si Tandahimba wala Nkasi pekee bali hata Mbagala just a kilometre toka Ikulu. Na mama mmoja kwa kila saa hapa nchini anakufa kwa kukosa huduma wakati wa kujifungua, jk amekarabati ikulu kwa billion 29 pesa za kitanzania, hii ni kwa mujibu wa report ya CAG. Mkapa alikarabati kwa billion 4 na alimaliza ukarabati sasa sielewi hiyo billion 29 imefanya kazi gani may be wewe unajibu kwenye hili.

2. jk bila aibu amejenga 9 presidential houses msoga, ujenzi huu ulianza mara tu alipoingia Ikulu. Wanakiji wa Msoga waliambiwa kwamba ni ikulu inajengwa na serikali. Niambie ikulu zilizojengwa na waliomtangulia maeneo waliyotoka. Mbinafsi kama huyu mimi nimkubali wa nini? Wewe ni shahidi pia namna ambavyo serikali inavyoendeshwa kwa gharama as if uchumi wetu unashindana na marekani. Mashangingi, safari za nje, chai ya biilion 30 na kadhalika. Yaani upuuzi wote huu nimpenda jk? No please i cant hata kwa risasi.

3. Serikali ya jk kama vile imeweka pamba masikioni mwaka jana peke yake imetoa msamaha wa kodi billion 700. Niambie pesa hii ingeweza kuokoa maisha ya akina mama wangapi wanaokufa kila saa? Au wale watoto 80 under 5 wanaokufa kila siku wangapi wangesalimika maisha yao? Au hata tungeweka kwenye madawati unadhani tungekuwa hata na mtoto mmoja anayesoma sakafuni?

Hii ni sehemu ndogo sana ya kwanini ninamchukia sana sana jk. Sijagusa utajiri usiomithilika wa ridhiwan aliouchuma ndani ya miaka mitano pekee. Kwa style hii unataka nimpende kweli jk who is never serious na maisha ya watanzania maskini? Issue ya udini iweke kando kwani jk ninasali naye msikitini ila tofauti kubwa kati yangu na yeye ni kwamba mimi ninawapenda sana watanzania na ninajisikia vibaya sana sana wanapoogela kwenye umaskini wakati Mungu aliwapa kila kitu jamani.
 
labda hujui chuki yako inasababishwa na nini!!!!!! Lakini jiulize vizuri moyoni na utagundua ni dhambi ya udini ndio inayokutesa. Hakika wale wote waliopandikiza dhambi hii kupitia madhabahu wanatakiwa kuteketezwa kimyakimya kwani mbegu walioipanda haitakiwi kuota na kutokeza juu ya ardhi ya watanzania... Kama unadhani nakuonea,,,,,, naomba nikosoe kwa huu ushahidi hapa chini.....
nani adui yetu??? Mkapa au kikwete????
1.maliasili(misitu, madini, samaki na wanyamapori) vilianza rasmi kuvunwa chini ya serikali ya mkapa kupitia mikataba isiyo na tija kwa taifa ambayo tunailalamikia hadi leo.kabla ya hapo hapakuwa na uvunaji wa kiwango hicho.

2.elimu nayo ilisambaratika katika utawala wa mkapa(kumbuka sakata la ubadilishaji wa mitaala),matumizi ya vitabu tofauti katika mashule,ufutaji wa michezo shuleni, kuzipigia chapuo shule binafsi na kuzinyima ruzuku shule za serikali.

3.usafirishaji nao ulisambaratishwa kwa makusudi kipindi cha mkapa kwani atc,trc,tha,ttbsltd, kamata na uda vilimalizwa na vimeshindwa kurudi hadi leo.

4.mwasiliano je???? Kila mtanzania ni shahidi wa jinsi mkapa na serikali yake walivyolifilisi shirika la simu ttcl na jinsi ambavyo wametumia ghilba kuiondoa celtel-(sasa zain) kutoka mikononi mwa ttcl na kuwa mali ya kikundi kidogo cha watu.

5.nishati nako vipi????? Mnakumbuka iptl?? Ni kipindi cha uongozi wa mkapa ambapo tanesco waliingia mikataba ya kifisadi iliyochangia kuyumba kwa kiasi kikubwa sana kwa tanesco mpaka kupelekea kashfa nyingine kama za richmond.

6. Kuhusu maji???? Ni edward lowwasa aliyefuta mikataba ya kifisadi kati ya wadau na wawekezaji(kumbuka kasheshe la dawasa kuvununja mkataba na wawekezaji)lakini upuuzi wote ulifanyika chini ya mkapa.

7.maadili ya watanzania kama taifa yaliingia kwenye majaribu kusamabaratika kipindi cha mkapa
8.kuhusu ufisadi ndio usiseme kabisaaaaaa,,,,, kwani deep green,meremeta,epa,kagoda na uuzaji wa nyumba za serikali uliratibiwa na kutekelezwa chini ya serikali ya mkapa.
9. Kuhusu ulinzi na usalama,,,, ni kipindi cha mkapa ambapo polisi na wahalifu walikuwa wakisaidiana katika kazi zao kiasi cha askari kuwa walinzi wa wanyan'anyi na wananchi wakibaki hawana usalama,
nahitimisha kwa kusema!!!!!! mwindaji akienda porini na mbwa wake kwa ajili ya kuwinda, ni mbwa anayefanya kazi ya kunusa ,kumkimbiza ,mpaka kumkamata mnyama, mwindaji atakachofanya ni kuchinja mnyama na kubeba nyama kwenda nyumbani ambapo pamoja na rafiki zake na wanafamilia watakula nyama yote na kubakiza mifupa na makombo kisha humtupia mbwa. Naye mbwa ataona amethaminiwa na ataonyesha furaha yake kwa kutingisha mkia kwa shukrani.
mkapa amewaachia uwanja wa mpira na daraja la mto rufiji kama makombo ili wale wenye silka za mbwa watingishe mikia kwa furaha wakati minofu yote(nishati,madini,maliasili, misitu,viwanda,mawasiliano) amekula yeye,familia yake na marafiki zake,

sikukatazi kumchukia kikwete,,, ila nawe tuambie ukiambatanisha na ushahidi juu ya nini kibaya alichoifanyia hii nchi zaidi ya mema na jitihada za kurekebisha yale aliyoharibu mkapa.
kama utaruhusu imani(imani za mapokeo ya kikoloni) ziuathiri ubongo wako kiasi cha kushindwa kuona ubaya wa mkapa kwa sababu tu muumini mwenzako na kumchukia kikwete eti kwa sababu ya tofauti ya imani,, basi wewe utakuwa mtumwa wa kifikra wewe na kizazi chako chote.






another crap!!!! Tena umebold. Shame upon you. Kachukue cheti chako ccm. Mbona mwinyi alitawala. Kanywe dawa utakuwa umepitiliza.
 
Labda hujui chuki yako inasababishwa na nini!!!!!! lakini jiulize vizuri moyoni na utagundua ni DHAMBI ya udini ndio inayokutesa. hakika wale wote waliopandikiza dhambi hii kupitia madhabahu wanatakiwa kuteketezwa kimyakimya kwani mbegu walioipanda haitakiwi kuota na kutokeza juu ya ardhi ya watanzania... kama unadhani nakuonea,,,,,, naomba nikosoe kwa huu ushahidi hapa chini.....
NANI ADUI YETU??? MKAPA au KIKWETE????
1.Maliasili(misitu, madini, samaki na wanyamapori) vilianza rasmi kuvunwa chini ya serikali ya MKAPA kupitia mikataba isiyo na tija kwa taifa ambayo tunailalamikia hadi leo.kabla ya hapo hapakuwa na uvunaji wa kiwango hicho.

2.ELIMU nayo ilisambaratika katika utawala wa MKAPA(Kumbuka sakata la ubadilishaji wa mitaala),matumizi ya vitabu tofauti katika mashule,ufutaji wa michezo shuleni, kuzipigia chapuo shule binafsi na kuzinyima ruzuku shule za serikali.

3.USAFIRISHAJI nao ulisambaratishwa kwa makusudi kipindi cha MKAPA kwani ATC,TRC,THA,TTBSLTD, KAMATA na UDA Vilimalizwa na vimeshindwa kurudi hadi leo.

4.MWASILIANO JE???? Kila mtanzania ni shahidi wa jinsi MKAPA na serikali yake walivyolifilisi shirika la simu TTCL na jinsi ambavyo wametumia ghilba kuiondoa CELTEL-(SASA ZAIN) kutoka mikononi mwa TTCL na kuwa mali ya kikundi kidogo cha watu.

5.NISHATI NAKO VIPI????? mnakumbuka IPTL?? Ni kipindi cha uongozi wa MKAPA ambapo TANESCO WALIINGIA MIKATABA YA KIFISADI iliyochangia kuyumba kwa kiasi kikubwa sana kwa TANESCO mpaka kupelekea kashfa nyingine kama za Richmond.

6. KUHUSU MAJI???? NI edward lowwasa aliyefuta mikataba ya kifisadi kati ya wadau na wawekezaji(kumbuka kasheshe la DAWASA kuvununja mkataba na wawekezaji)lakini upuuzi wote ulifanyika chini ya MKAPA.

7.MAADILI ya watanzania kama taifa yaliingia kwenye majaribu kusamabaratika kipindi cha MKAPA
8.Kuhusu UFISADI ndio usiseme kabisaaaaaa,,,,, kwani DEEP GREEN,MEREMETA,EPA,KAGODA NA UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI uliratibiwa na kutekelezwa chini ya serikali ya MKAPA.
9. KUHUSU ULINZI NA USALAMA,,,, ni kipindi cha mkapa ambapo polisi na wahalifu walikuwa wakisaidiana katika kazi zao kiasi cha askari kuwa walinzi wa wanyan'anyi na wananchi wakibaki hawana usalama,
nahitimisha kwa kusema!!!!!! mwindaji akienda porini na mbwa wake kwa ajili ya kuwinda, ni mbwa anayefanya kazi ya kunusa ,kumkimbiza ,mpaka kumkamata mnyama, mwindaji atakachofanya ni kuchinja mnyama na kubeba nyama kwenda nyumbani ambapo pamoja na rafiki zake na wanafamilia watakula nyama yote na kubakiza mifupa na makombo kisha humtupia mbwa. naye mbwa ataona amethaminiwa na ataonyesha furaha yake kwa kutingisha mkia kwa shukrani.
mkapa amewaachia uwanja wa mpira na daraja la mto rufiji kama makombo ili wale wenye silka za mbwa watingishe mikia kwa furaha wakati minofu yote(nishati,madini,maliasili, misitu,viwanda,mawasiliano) amekula yeye,familia yake na marafiki zake,

sikukatazi kumchukia KIKWETE,,, ila nawe tuambie ukiambatanisha na ushahidi juu ya nini kibaya alichoifanyia hii nchi zaidi ya mema na jitihada za kurekebisha yale aliyoharibu MKAPA.
Kama utaruhusu imani(imani za mapokeo ya kikoloni) ziuathiri ubongo wako kiasi cha kushindwa kuona ubaya wa MKAPA kwa sababu tu muumini mwenzako na kumchukia KIKWETE eti kwa sababu ya tofauti ya imani,, basi wewe utakuwa mtumwa wa kifikra wewe na kizazi chako chote.




Hi! Notradame, nashukuru kwa meseji yako lakini hapa nashindwa kukuelewa vizuri kama wewe ni mtu wa aina gani, katika baadhi ya sehemu unaonekana ni mtu unaesukumwa na uzalendo lakini baadhi ya sehemu ni kama unasukumwa na udini. Inawezekana umeupeleka mjadala huu kwenye udini kwasababu hujui baadhi ya mambo.

Naomba kabla sijakujibu hoja zako niweke wazi kuwa tunaposema tunamchukia kikwete haimaanishi kuwa tunampenda mkapa hivyo naomba ubaya wa mkapa usiwe kinga ya kikwete maana wakati wa mkapa tulimchukia mkapa kwa ubaya wake basi kama wewe unaona kikwete hastahili kuchukiwa kwa ubaya wake kisa mko dini moja uwe mvumilivu maana nchi hii kuna dini nyingi sana.

Binafsi nawachukia marais wote kuanzia Nyerere hadi Kikwete kwa ubaya wao ila sishindwi kutetea pale ninapoona ukweli unapotoshwa. Naomba nijibu hoja zako kama ifuatavyo:

1. Kuhusu, nani adui yetu? Adui yetu sio Mkapa wala Kikwete mr notradame ila adui yetu ni mfumo mbovu wa ccm ambao ndio umesababisha nchi ikwame. kwa hiyo sie wote tunawajibika kufanya mabadiliko iwe mtu ana udini au hana lakini mabadiliko ni muhimu ili tuondokane na umasikini unaotuathiri bila kuangalia dini zetu.

2. Kuhusu Maliasili: Haikuanza kuvunwa kipindi cha mkapa bali ni kipindi cha Mwinyi, kama una kumbukumbu nzuri kumbuka ile ishu ya Chavda na Loliondo ilikuwa kipindi cha Mwinyi na yote hiyo ni kwasababu CCM kuamua kuruhusu mambo hayo kupitia Azimio la Zanzibar 1989. Hata hivyo Mwinyi, Mkapa na kikwete wanasimamia sera za CCM isipokuwa kila mmoja ana udhaifu katika kusimamia.

3. Kuhusu elimu: Nakubaliana na wewe moja kwa moja kuwa hapa mkapa alivurunda na mojawapo ya vitu vinavyosababisha nimchukie mkapa ni pamoja na kuvuruga mitaala ya elimu na hapa kikwete amerekebisha japo naye hajui kwanini tunafanya vibaya michezoni, nchi zilifanikiwa wana shule nyingi zenye mirengo ya michezo kama ilivyo Filbert Bayi na zina vifaa vya kutosha pamoja na wataalamu.

4. Kuhusu usafirishaji: Mkapa alivuruga kwa kuingia mikataba mibovu nilimchukia sana kwa hilo na hata watendaji wake hasa Chenge kwasababu ndio alikuwa mwanasheria mkuu. Lakini ktk hili namchukia zaidi kikwete sio kwasababu ni muislam bali kwasababu alimpatia majukumu nyeti kama ya miundombinu mtu yule yule ambaye alishiriki kikamilifu kuingiza nchi ktk mikataba mibovu wakati wa mkapa.

5. Kuhusu Mawasiliano: ktk maeneo ambayo ubinafsishaji umeleta matokeo chanya ni kwenye mawasiliano, kumbuka notradame kabla ya ubinafsishaji ilikuwa ni ngumu sana kuwasiliana kwa simu na kuwekewa landline ilikuwa ngumu kama ilivyo sasa kuwekewa umeme wa Tanesco. kwa wananchi hiki ndio tunachokitaka sio kuwa na makampuni kiritimba yanayotoa huduma kwa kivuli cha shirika la umma. Aidha kuhusu Celtel, hili ni kampuni kubwa la mawasiliano duniani linapatikana ktk nchi zaidi ya ishirini Africa kwa hiyo halikuwahi kumilikiwa na TTCL wala kuwa chini yake bali kilichokuwepo ni makubaliano ya kibiashara ambapo TTCL iliiruhusu Celtel itumie mitambo ya TTCL badala yake Celtel ilikuwa inailipa TTCL charges za matumizi ya mitambo. Kwahiyo hamna kifungu cha sheria kilichokuwa kikizua Celtel kujitoa ktk makubaliano hayo na wala kifungu kama hicho hakiwezi kikawekwa ktk mazingira ya biashara labda kiongozi wa nchi ajitangaze kuwa ni dikteta.

6. Kuhusu Nishati: hapa kidogo umeteleza, IPTL haikuanza wakati wa mkapa bali mkataba wa IPTL ulisiniwa mwaka 1994 wakati wa Mwinyi tena aliyesaini ni kikwete wakati akiwa waziri nishati na madini. kama ambavyo Richmond ilitokana na ukame wa 2006, IPTL ilitokana na ukame 1994. Na huu mkataba ulipingwa vikali na UNDP kuwa haukuwa na maslahi kwa taifa kwasababu ulikuwa unahusu kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta ambayo tunaagiza nje badala yakutumia gesi ambayo inapatikana nchini. Hii ilisababisha UNDP kusitisha msaada wao ktk sector ya madini na hivyo kumlazimu mkapa kuingia mkataba na Songas 1997 ili kutimiza masharti ya UNDP. Na ndo maana mambo ya mikataba mibovu Tanesco yalipolipuka suala la IPTL lilizimwa kisanii kuliko lile la Richmond kwasababu IPTL inamhusu kikwete moja kwa moja.

7. Kuhusu maji: Ni kweli kulikuwa na mkataba wa ovyo kati ya city water na dawasa na ukavunjwa na lowasa kisha lowasa akaunda dawasco sasa mbona huongelei kuhusu utendaji wa dawasco? maana sidhani kuwa wananchi tulifurahia kuvunjwa mkataba ili tubaki na huduma duni, ila tuliamini kuwa ukivunjwa mkataba hatimaye tutapata mbadala unaofaa.

8. kuhusu maadili: yalianza kuharibika baada ya azimio la arusha kuzikwa kule zanzibar na kuanzishwa azimio la zanzibar. Halafu unachanganya kidogo hapo kwenye deep green, meremeta, EPA, kagoda etc. EPA ilianzishwa 1995 kwasababu muda huo uchumi ulikuwa hoi bin taabani hakukuwa na fedha za kigeni kwahiyo madeni yote ambayo watanzania walikuwa wanadaiwa nje hayengeweza kulipwa kwa shilingi maana wadai wanataka dollars ndio ikaanzishwa account ya EPA ili watanzania walipe kwa shilingi halafu ziwekwe mpaka dollar na pesa nyingine za nje zitakapopatikana. Lakini makampuni kama kagoda, deep green na meremeta yalianzishwa 2005 na wanamtandao (mtandao wa kikwete)kwa lengo la kuchukua hela kwenye EPA kwaajili ya uchaguzi wa mwaka huo. uuzaji wa nyumba za serikali ni kosa la moja kwa moja la mkapa namchukia kwa hilo.

9. kuhusu ulinzi na usalama: Baada tu kuingia mwinyi usalama ulianza kudorora mpaka leo hii watu wamefikia mahali wanasakiziana kesi mradi una hela za kuwapa polisi. hilo wote watatu wamefanya vibaya sana.

Thanks: I stand to be challenged.
 
Back
Top Bottom