Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
Wadau,
Kwa kuwa serikali kupitia waziri wa fedha imeruhusu mtu kusajiri namba ya gari anayoipenda na atalipia shilingi milioni 5 kwa miaka mitatu, napendekeza gari la mwenyekiti wa CHADEMA lisajiriwe kwa namba hii:
T 2015 CHADEMA
Hii ni kwa kutumia ubunifu wa mwana JF mwenzetu aitwaye paty.
Nawasilisha.
I concur with you! T 2015 CHADEMA! Beautiful!