samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
ivi inakuwaje mwanamke anafika kileleni kwa mda mfupi sana kisha anasema yeye hawezi endelea ametosheka? Kwa maranyingi husikia hawa viumbe huchelewa sana! Au huyu mwenza wangu anatatizo au mimi? Ukweli tunamiaka kama nane ndivyo mambo yalivyo na baada ya hapo hukaa 2days na kurudia tena.