THE PRINCE
Member
- Feb 22, 2011
- 40
- 6
Ndg alama ya 666 inawezekana, vitu vingi ss vinayo DAWA ni kila unachotumia kutakasa kwa DAMU YA YESU iwe salama kwako.
unajiaibisha!!
15=1+5=?!!
24= 2+4=?!!
Hata motorola bapa haina hiyo kitu.Mbona cm yangu haina,au cm yako ya kichina nn?
Mark of the beast.
Ukijumlisha mstari wa kwanza wa keypad za simu yako yaani
1+2+3=6.
Then ukijumlisha mstari wa pili pia utapata 6.
4+5+6=15=1+5=6
ukijumlisha mstari wa mwisho pia utapata 6.
7+8+9=24=2+4=6.
Kiji alama kwenye namba tano ni ukamilisho wa namba 666 ambayo ni namba ya Shetani.
Kumbuka tano ndiyo namba ya katikati kwenye simu yako.