Natatizika ni comment vipi !
Na wapi nianzie na wapi niishie.
Hii ni kwakua post yako haujaifungua vya kutosha, ni vema ungejiachia kwa kuweka wazi dhamira yako, tofauti na ulivyofumbafumba maneno.
Hii lugha ya kiswahili naona inazidi kuwa ngumu kwangu kila kuchapo, hivi hili neno"namajanga" lina tofauti na lile nilijualo la "Nina majanga"?.
Duu hapa nilipo namajanga kibao.
Kiukweli hili ni neno majawapo ambalo kila siku iendayo kwa mwenyezi MUNGU. lazima nilisikie masikion mwangu.
Je wadau neno hili lina maana gani?? Au umekwisha wahi lisikia??
hii lugha ya kiswahili naona inazidi kuwa ngumu kwangu kila kuchapo, hivi hili neno"namajanga" lina tofauti na lile nilijualo la "nina majanga"?.
nina MASWAIBA ,,au matatizo likitoka hili linaingia lile
mkuu hujaelewa nin hapo??
Lengo langu nikutaka kujua maana ya neno majanga kama watu wengi walitumiavyo.mfano
leo namajanga kibao,mi mwenyewe namajanga ,niondolee majanga n.k
huwa wanamaanisha nin wasemapo neno hilo.
ana maafa.