MBILI ZILIZO PITA Linda Laina Nyatoro, a South African reporter witnessed the incident and sent this picture. The giant snake swallowed a woman two days ago, near Durban North, South Africa.
Mzizimkavu youtube zote unazowekaga hapa jf huwa hazifunguki kwenye sim yangu, nadhani kutakuwa na makosa huwa unafanya, jaribu kuyarekebisha ili wote tuwe tunafurahia
Haijawahi kutokea chatu kummeza mtu mzima hizo ni ngano tu wao walijuaje kama aliyemezwa ni mwanamke? Inamaana wakati chatu anamletea mandingo kuna watu walikuwa wanamsikilizia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.