Nalea

Nakupongeza sana ila ujue siwapendi wanawake wanaochukua waume za wanawake wenzao. Sababu ni mateso kwenye familia original. Nakushauri ili upate baraka na mwanao make sure familia ya huyo bwanako haipati shida kutokana na uwepo wako wewe! Ni ushauri tu sio lazima uubebe. Malezi mema
 
Mimi kama kakakiiza nimekuwa nikiulizia sana afya yako nashukuru kwakutujulisha kama wana jamii naomba nitangulize shukurani ila nawa pm watu ili tuweze kukutana na wewe tukupe mchango wetu kama wana jf ila nitumie no. yako kwa pm ili niweze kuognizi na jf member nilionao karibu.
 
Mimi kama kakakiiza nimekuwa nikiulizia sana afya yako nashukuru kwakutujulisha kama wana jamii naomba nitangulize shukurani ila nawa pm watu ili tuweze kukutana na wewe tukupe mchango wetu kama wana jf ila nitumie no. yako kwa pm ili niweze kuognizi na jf member nilionao karibu.
achangiwe kwani ametelekezwa?
 
Jamani nimewamiss! Nimejaliwa mtoto wa kiume yani mwenzenu niko bize hakuna mfano. Leo kidogo nimepata hizi dakika mbili nikaona niwakumbuke. Babake alipomwona tu nikamshangaa mwenzangu chozi linamlengalenga nikamwuliza vipi? Ati kisa kaona mwanae ana kidimpo kidevuni basi ndicho kimemliza anasema kimemkumbusha babake mzazi. Na kule kwa yule hakuna mtoto mwenye hicho kidimpo. Basi mie mwenzenu bichwa hilo!

Asanteni mlionitakia kheri. Siku nyingine tukijaaliwa nitaingia tena tushauriane hili na lile inshaallah lakini kwa leo naombeni tu niondoke mtoto mdogo sana huyu halafu sijazoea haya mambo. Byeee!

:scared::director::attention::llama:
 
mh sijui kwa nini,nahisi sikupendi mwizi wa waume za watu nakuombea mabaya yakufike wewe na hilo toto lako

sema yooooote,mseme da sophy,lakini huyo ni mtoto mchanga ambae ameletwa duniani,ni mtoto ambae hana makosa.Hyo maneno matatu uliyoyasema si maneno mazuri.
 
Jamani nimewamiss! Nimejaliwa mtoto wa kiume yani mwenzenu niko bize hakuna mfano. Leo kidogo nimepata hizi dakika mbili nikaona niwakumbuke. Babake alipomwona tu nikamshangaa mwenzangu chozi linamlengalenga nikamwuliza vipi? Ati kisa kaona mwanae ana kidimpo kidevuni basi ndicho kimemliza anasema kimemkumbusha babake mzazi. Na kule kwa yule hakuna mtoto mwenye hicho kidimpo. Basi mie mwenzenu bichwa hilo!

Asanteni mlionitakia kheri. Siku nyingine tukijaaliwa nitaingia tena tushauriane hili na lile inshaallah lakini kwa leo naombeni tu niondoke mtoto mdogo sana huyu halafu sijazoea haya mambo. Byeee!

We Da sophy mbona na mimi pia umenikumbusha? Babangu mzazi pia alikuwa na box chin yenye dimple. Lakini katika kaka zangu hakuna mwenye kimada wala hawara, kwa hivyo hiyo dimple ya kidevuni ya mwanao ni suala la chance tu. Sikupi hongera yoyote maana hakuna cha kustahii hongera ulichofanya hapo. Lakini nakuombea afya njema na nguvu uweze kumlea mwanao huyo vizuri, maana masikini mtoto huyo hana hatia na tabia yako mbaya. Mungu ampe nguvu za kustahimili mazingira magumu uliyomsababishia, na ampe mafanikio maishani.
 
Kumbe hukupiga mechi ya nje cup
Jamani nimewamiss! Nimejaliwa mtoto wa kiume yani mwenzenu niko bize hakuna mfano. Leo kidogo nimepata hizi dakika mbili nikaona niwakumbuke. Babake alipomwona tu nikamshangaa mwenzangu chozi linamlengalenga nikamwuliza vipi? Ati kisa kaona mwanae ana kidimpo kidevuni basi ndicho kimemliza anasema kimemkumbusha babake mzazi. Na kule kwa yule hakuna mtoto mwenye hicho kidimpo. Basi mie mwenzenu bichwa hilo!

Asanteni mlionitakia kheri. Siku nyingine tukijaaliwa nitaingia tena tushauriane hili na lile inshaallah lakini kwa leo naombeni tu niondoke mtoto mdogo sana huyu halafu sijazoea haya mambo. Byeee!
 
Back
Top Bottom