Nakupongeza sana ila ujue siwapendi wanawake wanaochukua waume za wanawake wenzao. Sababu ni mateso kwenye familia original. Nakushauri ili upate baraka na mwanao make sure familia ya huyo bwanako haipati shida kutokana na uwepo wako wewe! Ni ushauri tu sio lazima uubebe. Malezi mema