Nakwenda Hijja Inshallah

HM Hafif

JF-Expert Member
Aug 16, 2009
1,359
20
Wana JF.

Kama kuna watu walikuwa wanasikia tetesi basi leo napenda kuweka bayana kuwa Mimi Hamad Moh'd Hafif Al- Mugheiry na wake zangu wawili Bi Kuruthum Suleiman Al yahayai na Bi Zelekha Khamis Al Harthy na bint yangu Mpenda Dr Mufiydat Hamad Al Mugheiry sote kwa pamoja tunasafiri kwenda kwenye mji mtakatifu wa Makkah na Madinna kwa ajili ya kuhirimia Hijja.

Kama ilivyo addah kuwa yeyote anaekwenda huko basi ni sharti pamoja na kuhakikisha kuwa wale wote wanaomtegemea kuwa hawata pata taabu kipindi yeye hayupo lakini pia unatakiwa uwaage ndugu, jamaa na marafiki wote na kupata radhwi zao.

Na mimi kwa niaba ya familia yangu nawaaga rasmi kuwa nakwenda hijja tarehe 10 Nov 2009 kwa yemen air na baada ya Ibada ya hijja nitakwenda kusalimia jamaa huko Muscat na Yemen na insh'Allah nataraji kurudi Tanzania mwishoni mwa December.

Nawatakia kila la kheir na naomba dua zenu katika safari yangu hiyo. Tuwiane radhi kwa niliowakosea na nimewawia radhi walionikosea.

Nawatakia barza njema
 
Kuwa makini tu wakati 'wanapomponda shetwani' wasije wakakuponda na wewe
 
Wana JF.

Kama kuna watu walikuwa wanasikia tetesi basi leo napenda kuweka bayana kuwa Mimi Hamad Moh'd Hafif Al- Mugheiry na wake zangu wawili Bi Kuruthum Suleiman Al yahayai na Bi Zelekha Khamis Al Harthy na bint yangu Mpenda Dr Mufiydat Hamad Al Mugheiry sote kwa pamoja tunasafiri kwenda kwenye mji mtakatifu wa Makkah na Madinna kwa ajili ya kuhirimia Hijja.

Kama ilivyo addah kuwa yeyote anaekwenda huko basi ni sharti pamoja na kuhakikisha kuwa wale wote wanaomtegemea kuwa hawata pata taabu kipindi yeye hayupo lakini pia unatakiwa uwaage ndugu, jamaa na marafiki wote na kupata radhwi zao.

Na mimi kwa niaba ya familia yangu nawaaga rasmi kuwa nakwenda hijja tarehe 10 Nov 2009 kwa yemen air na baada ya Ibada ya hijja nitakwenda kusalimia jamaa huko Muscat na Yemen na insh'Allah nataraji kurudi Tanzania mwishoni mwa December.

Nawatakia kila la kheir na naomba dua zenu katika safari yangu hiyo. Tuwiane radhi kwa niliowakosea na nimewawia radhi walionikosea.

Nawatakia barza njema

“Ewe Mwenyezi Mungu Muongoze mja wako huyu na familia yake, pamoja na Uliowaongoza, na Umpe afya njema yeye na familia yake, pamoja na Uliowapa afya njema, na Mfanye kuwa ni kipenzi chako yeye na familia yake pamoja na Uliowafanya wapenzi na umbariki katika katika safari yake hiyo tukufu, Hakika ameitikia wito wako pamoja na hao walio itikia kabla, basi zikubali dua zake na zetu pamoja na familia zetu… Mbariki katika Ulichompa na mkinge na shari ya Ulilolihukumu kwani Wewe Unahukumu wala Huhukumiwi. Hakika hadhaliliki Uliyemfanya mpenzi (wala hatukuki Uliyemfanya adui) Umetakasika Ewe Mola wetu na Umetukuka, basi tuwezeshe na sisi tuweze kuitikia wito wako mtukufu, ili nasi tuweze kwenda kwenye nyumba yako tukufu…" Amin Insha'Allah


“Ewe Mwenyezi Mungu, Wewe tu Ndiye tunaekuabudu, na Kwako tunaswali na tunasujudu, na Kwako tunakimbilia na tunakutumikia, tunataraji rehema Yako na tunaogopa adhabu Yako, kwani adhabu Yako hakuna shaka kuwa makafiri itawifikia. Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakutaka msaada na tunakutaka msamaha na tunakusifu kwa kheri na wala hatukukufurishi na tunakuamini Wewe, na tunakunyenyekea na tunamuepuka anaekukufuru”

Subhaanal-Malikul-Qudduus
Subhaanal-Malikul-Qudduus
Subhaanal-Malikul-Qudduus



Rabbul-Malaaikati War-Ruuh

Tunakutakia safari njema Insha'Allah

X-Paster
 
“Ewe Mwenyezi Mungu Muongoze mja wako huyu na familia yake, pamoja na Uliowaongoza, na Umpe afya njema yeye na familia yake, pamoja na Uliowapa afya njema, na Mfanye kuwa ni kipenzi chako yeye na familia yake pamoja na Uliowafanya wapenzi na umbariki katika katika safari yake hiyo tukufu, Hakika ameitikia wito wako pamoja na hao walio itikia kabla, basi zikubali dua zake na zetu pamoja na familia zetu… Mbariki katika Ulichompa na mkinge na shari ya Ulilolihukumu kwani Wewe Unahukumu wala Huhukumiwi. Hakika hadhaliliki Uliyemfanya mpenzi (wala hatukuki Uliyemfanya adui) Umetakasika Ewe Mola wetu na Umetukuka, basi tuwezeshe na sisi tuweze kuitikia wito wako mtukufu, ili nasi tuweze kwenda kwenye nyumba yako tukufu…" Amin Insha'Allah


“Ewe Mwenyezi Mungu, Wewe tu Ndiye tunaekuabudu, na Kwako tunaswali na tunasujudu, na Kwako tunakimbilia na tunakutumikia, tunataraji rehema Yako na tunaogopa adhabu Yako, kwani adhabu Yako hakuna shaka kuwa makafiri itawifikia. Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakutaka msaada na tunakutaka msamaha na tunakusifu kwa kheri na wala hatukukufurishi na tunakuamini Wewe, na tunakunyenyekea na tunamuepuka anaekukufuru”

Subhaanal-Malikul-Qudduus
Subhaanal-Malikul-Qudduus
Subhaanal-Malikul-Qudduus


Rabbul-Malaaikati War-Ruuh

Tunakutakia safari njema Insha'Allah

X-Paster
Aamin Yarabbi Aamin.

Allah atuongoze
 
Tunawaombea nyinyi na wote waliokwenda na wataokwenda, hijja maqbul

mola awape afya ya kutekeleza yote yaliyoamrishwa katika safari hii na mwende na kurudi kwa salama .
Musitusahau na sisi kwa dua tu inshaallah
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=7BAxDzUCl8M"]http://www.youtube.com/watch?v=7BAxDzUCl8M[/ame]
 
HM Hafif,
Mw'mungu awajaalie kheri ww na watu wako...na waislamu wote mnaolekea huko kwa ibada hii tukufu...mwende na mrudi salama salimini...Mkuu usisahau dua kwa Qudsi na Falastine...na waislamu wote wanaishai katika dhulma...again, nakutakia safari na hija yenye kukubaliwa ww na watu wako na waislamu wote wanaoelekea huko.
 
Wana JF.

Kama kuna watu walikuwa wanasikia tetesi basi leo napenda kuweka bayana kuwa Mimi Hamad Moh'd Hafif Al- Mugheiry na wake zangu wawili Bi Kuruthum Suleiman Al yahayai na Bi Zelekha Khamis Al Harthy na bint yangu Mpenda Dr Mufiydat Hamad Al Mugheiry sote kwa pamoja tunasafiri kwenda kwenye mji mtakatifu wa Makkah na Madinna kwa ajili ya kuhirimia Hijja.

Kama ilivyo addah kuwa yeyote anaekwenda huko basi ni sharti pamoja na kuhakikisha kuwa wale wote wanaomtegemea kuwa hawata pata taabu kipindi yeye hayupo lakini pia unatakiwa uwaage ndugu, jamaa na marafiki wote na kupata radhwi zao.

Na mimi kwa niaba ya familia yangu nawaaga rasmi kuwa nakwenda hijja tarehe 10 Nov 2009 kwa yemen air na baada ya Ibada ya hijja nitakwenda kusalimia jamaa huko Muscat na Yemen na insh'Allah nataraji kurudi Tanzania mwishoni mwa December.

Nawatakia kila la kheir na naomba dua zenu katika safari yangu hiyo. Tuwiane radhi kwa niliowakosea na nimewawia radhi walionikosea.

Nawatakia barza njema
Safiri salama, na bwana akutangulie........
 
Wana JF.

Kama kuna watu walikuwa wanasikia tetesi basi leo napenda kuweka bayana kuwa Mimi Hamad Moh'd Hafif Al- Mugheiry na wake zangu wawili Bi Kuruthum Suleiman Al yahayai na Bi Zelekha Khamis Al Harthy na bint yangu Mpenda Dr Mufiydat Hamad Al Mugheiry sote kwa pamoja tunasafiri kwenda kwenye mji mtakatifu wa Makkah na Madinna kwa ajili ya kuhirimia Hijja.

Kama ilivyo addah kuwa yeyote anaekwenda huko basi ni sharti pamoja na kuhakikisha kuwa wale wote wanaomtegemea kuwa hawata pata taabu kipindi yeye hayupo lakini pia unatakiwa uwaage ndugu, jamaa na marafiki wote na kupata radhwi zao.

Na mimi kwa niaba ya familia yangu nawaaga rasmi kuwa nakwenda hijja tarehe 10 Nov 2009 kwa yemen air na baada ya Ibada ya hijja nitakwenda kusalimia jamaa huko Muscat na Yemen na insh'Allah nataraji kurudi Tanzania mwishoni mwa December.

Nawatakia kila la kheir na naomba dua zenu katika safari yangu hiyo. Tuwiane radhi kwa niliowakosea na nimewawia radhi walionikosea.

Nawatakia barza njema
Inshallah, Mungu akusaidie na hijja yako pamoja na za wake zako na mwanao zikubaliwe pamoja na hao wote watakaoenda huko. Tuombee na sisi tuliyokutakia heri Mungu atukumbuke mambo yetu mema yawe rahisi. Ibada njema!
 
marhaba yaa Al Mugheiry.

Awali ya yote kwanza nakupongeza sana kwa kutekeleza sunna ya Rasul Mohammad S.A.W kwa kuoa wake WAWILI. na kwa taarifa yako mkeo Zulekha ni mtoto wa Binamu yangu Sheikh Khamis Fahad Al Harthy, ambaye baba yake Mzee Fahad Saleem Al Harthy ni ndugu na Sheikh Abdullah Saleem Al harthy na Mama Yangu mzazi Bi Faharataji Saleem Al Harthy. Wote hao wanatoka RUWI, Muscat Oman. Na huko Unguja ni wazawa wa Kianga, Mwera , Zanzibar.

Pili nakupongeza kwa kuitika wito wewe pamoja na jamii yako. {Rabbaikkah). nawaombea kwa Allah awarahisishie safari na muweze kutimiza Hijja zenu salama usalimin na Hijja zenu ziwe zenye kukubaliwa.

Mwisho tumekusamehe na tumekubali msamaha wako. Tunaamini kuwa ukirudi huko basi utakuwa umefungua ukurasa mpya wa maisha. Lakini tu usisahau kumtoa Askofu Abdulhalim katika blacklist yako ili nae awe huru kuchat nawe.

Tafadhali ukiwa huku basi tuwasiliane ufike japo hapa Qatar na insh'Allah gharama za ticket na jamii yako nitalipa. tafadhali sana karibu Doha.
 
Al haj Hafif.

Vipi huyu Binti yako Dr Mufiyda ameshapata mchumba? Nina barubaru moja hapa linatafute mke kutoka huko. Yeye ni Mhandisi hapa Qatar Petrolium aitwa Saleh said Al Namaan.i
 
marhaba yaa Al Mugheiry.

Awali ya yote kwanza nakupongeza sana kwa kutekeleza sunna ya Rasul Mohammad S.A.W kwa kuoa wake WAWILI. na kwa taarifa yako mkeo Zulekha ni mtoto wa Binamu yangu Sheikh Khamis Fahad Al Harthy, ambaye baba yake Mzee Fahad Saleem Al Harthy ni ndugu na Sheikh Abdullah Saleem Al harthy na Mama Yangu mzazi Bi Faharataji Saleem Al Harthy. Wote hao wanatoka RUWI, Muscat Oman. Na huko Unguja ni wazawa wa Kianga, Mwera , Zanzibar.

Pili nakupongeza kwa kuitika wito wewe pamoja na jamii yako. {Rabbaikkah). nawaombea kwa Allah awarahisishie safari na muweze kutimiza Hijja zenu salama usalimin na Hijja zenu ziwe zenye kukubaliwa.

Mwisho tumekusamehe na tumekubali msamaha wako. Tunaamini kuwa ukirudi huko basi utakuwa umefungua ukurasa mpya wa maisha. Lakini tu usisahau kumtoa Askofu Abdulhalim katika blacklist yako ili nae awe huru kuchat nawe.

Tafadhali ukiwa huku basi tuwasiliane ufike japo hapa Qatar na insh'Allah gharama za ticket na jamii yako nitalipa. tafadhali sana karibu Doha.


Baba nakushukuru sana. Kwa hakika nimefurahi mno kujuana kwani hata wifu anamjua sana huyo Bibi yake tokea akiwa Pale Kariakoo Mkunguni Str na mpaka sasa pale Sahadhabi Muscat.

Tutafurahi sana kukuona ee na familia yako yote Muscat kwani lazima tufika Al Kheir kwa Engineer mstaafu Sheikh Abdullah. Tuonane pale.

Kwa kifupi nimemwacha huru na nimewasamehe AbdulHalim na wengine wote waliokuwa kwenye black list yangu .
 
Al haj Hafif.

Vipi huyu Binti yako Dr Mufiyda ameshapata mchumba? Nina barubaru moja hapa linatafute mke kutoka huko. Yeye ni Mhandisi hapa Qatar Petrolium aitwa Saleh said Al Namaan.i
Baba huyu Mjukuu wako ameshaposwa tayari lakini mengi tutaongea tukionana inshallah.


Nawashukuru wote kwa dua zenu. nami Inshallah nitawakumbuka kwenye dua zangu na inshallah Allah atawafanyia wepesi katika shughuli zenu, atawaepusha na mabalaa na sheitwani kuwapa baraka na kheir nyingi.
 
Uiombee nchi yetu ili Mafisadi walaniwe na wakome kuchukua kile ambacho Mwenyezi Mungu ametujaaalia. Ishallah utarudi salama
 
Allah akufanyieni wepesi katika Safari yenu na Ibada yote kwa Ujumla wenu na wengine wote waliokusudia kwenda Hijja Allah kwa Huruma yake nao pia awarahisishie Safari zao INSHALLAH.
 
Nashukuru sana, Allah atuzidishie kheir kwa wingi na kutuokoa na maovu.
 
Nakutakieni safari njema Inshallah, Amin.

Utakapo fika katika Al-Kaaba usinisahau na mimi katika dua zako.
 
Mwenyesi mungu akufikishe salama na ailinde familia yako kipindi ulioiacha hapa nyumbani kipindi hayupo.tuombee na sie waislam wenine mwenyezi mungu atuoe rizq tupate kutimiza hiyo nguzoameen.
 
Back
Top Bottom